Taratibu za jeshi la polisi zinaruhusu hii?

Taratibu za jeshi la polisi zinaruhusu hii?

aka2030

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
2,657
Reaction score
3,679
Kuweka picha kwenye mitandao ya kijamii ukiwa umevaa kombati?
907A24B6-CDEF-4AD9-B9FF-8F647FE728D3.jpeg
BF27332C-CFFB-476B-88F6-606ED029E7A3.jpeg
7E49B0B4-E8BB-4896-9559-DB0411597BC0.jpeg
1D19B2D6-43B0-4F64-9215-0BCA78E3B9DB.jpeg
 
Hujaona kwny picha ya kwanza kabisa kuna HAPPY BDAY mkuu mwenyewe.

Ukishaweka hio picha tu,basi jua hakuna ataekusumbua.
 
mkuu humo usiingilie kuna vitu vingine vya wakubwa
 
Huyu afande personally ananivutia sana.Anaijua kazi yake.Uaskari sio ukasisi.
 
Back
Top Bottom