Taratibu za kisheria zikoje kubadili gari langu kuwa na picha za Wagombea kama bango la kampeni?

Taratibu za kisheria zikoje kubadili gari langu kuwa na picha za Wagombea kama bango la kampeni?

May Day

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2018
Posts
6,311
Reaction score
9,027
Nimekuwa ninakutana na magari mbali mbali yakiwa na picha za Wagombea mbali mbali nikajikuta najiuliza maswali iwapo nami nitatamani kubadili Gari langu, maana najua hili ni zoezi la muda mfupi tu na baada ya kampeni Gari litarudi rangi yake ya awali.
 
Nimekuwa ninakutana na magari mbali mbali yakiwa na picha za Wagombea mbali mbali nikajikuta najiuliza maswali iwapo nami nitatamani kubadili Gari langu, maana najua hili ni zoezi la muda mfupi tu na baada ya kampeni Gari litarudi rangi yake ya awali.
Kipindi hiki cha kampeni ya uchaguzi wewe badili tu hamna shida.
 
Nimekuwa ninakutana na magari mbali mbali yakiwa na picha za Wagombea mbali mbali nikajikuta najiuliza maswali iwapo nami nitatamani kubadili Gari langu, maana najua hili ni zoezi la muda mfupi tu na baada ya kampeni Gari litarudi rangi yake ya awali.
Hii haiitwi kubadili rangi. Inaitwa car branding. Unakwenda TRA kwenye kitengo kinachoshughulika na non-tax revenue wanapima gari lako na wanakutoza kulingana na squere meter. Kimsingi hili ni eneo ambalo kwa kipindi hiki TRA wangeweza kukusanya bilions of money kutoka vyama vya siasa kwa sababu hili tukio huwa linatokea mara moja kwa kila miaka 5. Lakini wamelala tuu usingizi wakikusanya mapato kwa mazoea. Sijui hata kama zile bill boards za wagombea zilizotapakaa nchi nzima zimelipiwa. Namjua yule Dr. Wa Tra hana mchezo atainyaka hii na kuifanyia kazi.
 
Nimekuwa ninakutana na magari mbali mbali yakiwa na picha za Wagombea mbali mbali nikajikuta najiuliza maswali iwapo nami nitatamani kubadili Gari langu, maana najua hili ni zoezi la muda mfupi tu na baada ya kampeni Gari litarudi rangi yake ya awali.
Ungemfuata unayetaka kuweka picha yake, nina imani atakuongoza nini cha kufanya
 
Ungemfuata unayetaka kuweka picha yake, nina imani atakuongoza nini cha kufanya
Sasa vipi kama ni Kiongozi Mkubwa nisiyeweza kumfikia, nami nataka niweke picha yake kama njia yangu ya kuonyesha tu kwamba namuunga mkono?.
 
Sasa vipi kama ni Kiongozi Mkubwa nisiyeweza kumfikia, nami nataka niweke picha yake kama njia yangu ya kuonyesha tu kwamba namuunga mkono?.
Kama ni Mgombea Mkuu hawana shida mbona.
 
Kama ni wa ccm ni bure, ila kama ni wa upinzani ujipange kulipia na makosa yote ambayo ulisamehewa na trafiki, usisahau kabisa kuwa kuna matukio yanafanywa na upinzani pekee, uwe tayari kuwa mshukiwa
 
Hii haiitwi kubadili rangi. Inaitwa car branding. Unakwenda TRA kwenye kitengo kinachoshughulika na non-tax revenue wanapima gari lako na wanakutoza kulingana na squere meter. Kimsingi hili ni eneo ambalo kwa kipindi hiki TRA wangeweza kukusanya bilions of money kutoka vyama vya siasa kwa sababu hili tukio huwa linatokea mara moja kwa kila miaka 5. Lakini wamelala tuu usingizi wakikusanya mapato kwa mazoea. Sijui hata kama zile bill boards za wagombea zilizotapakaa nchi nzima zimelipiwa. Namjua yule Dr. Wa Tra hana mchezo atainyaka hii na kuifanyia kazi.
Maelezo yako yanajichanganya mkuu umesema unaenda TRA zen wanapima gari that means wanataka kukuchaji halafu tena unasema tra wamelala
 
Gari
Nimekuwa ninakutana na magari mbali mbali yakiwa na picha za Wagombea mbali mbali nikajikuta najiuliza maswali iwapo nami nitatamani kubadili Gari langu, maana najua hili ni zoezi la muda mfupi tu na baada ya kampeni Gari litarudi rangi yake ya awali.
Gari halibadilishwi rangi bali wanabandika sticker
 
Gari

Gari halibadilishwi rangi bali wanabandika sticker
Sawa lakini zile sticker zinabadilisha muonekano wa gari....ina maana wakati kadi inasema Gari ni la bluu, huku gari lina stika za hudhurungi.
 
Back
Top Bottom