Taratibu za Kuagiza Pikipiki kutoka nje ya Nchi

Taratibu za Kuagiza Pikipiki kutoka nje ya Nchi

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Wakuu Habari.

Naomba kujuzwa taratibu za kuagiza pikipiki kutoka nje (Mfano Japan). Kwa magari tunaona kuna website kama Beforward Tradecarview Autocom etc, sasa kwa pikipiki kuna utaratibu huo?

Na ikishafika bandalini, wakati wa kuitoa ushuru una kadiriwaje au unafuata taratibu gani?

Shukrani.
 
Be forward wanazo ila ni chache sana.
Kama unataka uagize pikipiki na usaidiwe kujua gharama za ushuru watafute Astra Line Logistics.

Kama unataka pikipiki kutoka kwa mkaburu (South Africa) watafute Gumtree, au Bikes Afrika ila hawa bei zao zipo juu kidogo na wanakuletea mpaka ulipo.
 
Be forward wanazo ila ni chache sana.
Kama unataka uagize pikipiki na usaidiwe kujua gharama za ushuru watafute Astra Line Logistics.

Kama unataka pikipiki kutoka kwa mkaburu (South Africa) watafute Gumtree, au Bikes Afrika ila hawa bei zao zipo juu kidogo na wanakuletea mpaka ulipo.
Gumtree ni site tu ya online ila haina au hawafanyi delivery maana huku ni individual seller, na kuwa makini unapotaka kununua kitu South African maana matapeli nao wanafungua account zao huko kwa kuweka vitu vya bei cheap ila muonekano wenye ubora. Tafuta site au kampuni inayoaminika unanunua kwao utapata deliver moja kwa moja.

Kuna site nyingine za auction wanauza mpaka gari zilizogongwa au pikpiki zilizopata ajali, sasa mi wewe ku bargain nao..

Pikipiki aina gani wataka kununua nikuangalizie huku, nikupe link ya wauzaji then kazi kwako, niko south africa
 
Gumtree ni site tu ya online ila haina au hawafanyi delivery maana huku ni individual seller, na kuwa makini unapotaka kununua kitu South African maana matapeli nao wanafungua account zao huko kwa kuweka vitu vya bei cheap ila muonekano wenye ubora. Tafuta site au kampuni inayoaminika unanunua kwao utapata deliver moja kwa moja.

Kuna site nyingine za auction wanauza mpaka gari zilizogongwa au pikpiki zilizopata ajali, sasa mi wewe ku bargain nao..

Pikipiki aina gani wataka kununua nikuangalizie huku, nikupe link ya wauzaji then kazi kwako, niko south africa
Any Sport bike (Honda,Kawasaki,Suzuki bmw nk)engine size btn 200-250cc
 
Gumtree ni site tu ya online ila haina au hawafanyi delivery maana huku ni individual seller, na kuwa makini unapotaka kununua kitu South African maana matapeli nao wanafungua account zao huko kwa kuweka vitu vya bei cheap ila muonekano wenye ubora. Tafuta site au kampuni inayoaminika unanunua kwao utapata deliver moja kwa moja.

Kuna site nyingine za auction wanauza mpaka gari zilizogongwa au pikpiki zilizopata ajali, sasa mi wewe ku bargain nao..

Pikipiki aina gani wataka kununua nikuangalizie huku, nikupe link ya wauzaji then kazi kwako, niko south africa
Mkuu kama una link yoyote ya auction SA naomba nami kusaidiwa niweze kuona
 
Unatoa oda au aina ya bike unayotaka kisha utafanya malipo ya mwanzo ofisini Dar es Salaam.Pikipiki ikifika utamaliza kiasi kilichobaki
Kwanini ofisini ya dar isiwe na show room za pkpki hzo.....mtu akihitaji analipia na kusepa na chopa yake
 
Mkuu kama una link yoyote ya auction SA naomba nami kusaidiwa niweze kuona



Hizi link wote wako trusted ila mimi binafsi ninge select link hizo 2 za mwanzo.....
 



Hizi link wote wako trusted ila mimi binafsi ninge select link hizo 2 za mwanzo.....
Mtzd bk
 
Back
Top Bottom