Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama una uhitaji kuna hili lipo nchini tayari na usajili juuWadau naomba kama kuna anaejua jinsi ya kuagiza tractor nje ya nchi mpaka hapa tz na gharama zake.
Bajeti yako ni Sh ngapi ?Wadau naomba kama kuna anaejua jinsi ya kuagiza tractor nje ya nchi mpaka hapa tz na gharama
Ursus....PL....Kibaha.🧐🤫Kama una uhitaji kuna hili lipo nchini tayari na usajili juuView attachment 1818123View attachment 1818124View attachment 1818125
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji15][emoji848][emoji3064]Ursus....PL....Kibaha.[emoji3166][emoji2958]
Ha ha kwamba matrekta sio ya kutafuta tena nje ya nchi, yanaunganishwa hapo Kibaha.
Ooh ok ok ni kweli kabisaHa ha kwamba matrekta sio ya kutafuta tena nje ya nchi, yanaunganishwa hapo Kibaha.
Huo ni ugonjwa wa moyo usiharibu, waliojaribu wanalia, wanateseka Kwa sasa wanaishia kigukizana na Takukuru. Utadhani wametoa na kupokea rushwa.Kama una uhitaji kuna hili lipo nchini tayari na usajili juuView attachment 1818123View attachment 1818124View attachment 1818125
Sent using Jamii Forums mobile app
shauri basiHuo ni ugonjwa wa moyo usiharibu, waliojaribu wanalia, wanateseka Kwa sasa wanaishia kigukizana na Takukuru. Utadhani wametoa na kupokea rushwa.
Ugonjwa wa moyo nadhani anaongelea trekta aina ya ursus, ambapo kwenye picha hiyo ya Mshana Jr lipo jembe lake tu na si trekta. Trekta linalouzwa hapo ni new holland, moja ya trekta nzuri kwa gharama rafiki kabisa za manunuzi na gharama rafiki kabisa za matunzo piashauri basi
umesomeka mkuu. Jioni nitaomba muda wako,kuna ujumbe nitakuachia PM. Nataka kuchukua mashine AgostiUgonjwa wa moyo nadhani anaongelea trekta aina ya ursus, ambapo kwenye picha hiyo ya Mshana Jr lipo jembe lake tu na si trekta. Trekta linalouzwa hapo ni new holland, moja ya trekta nzuri kwa gharama rafiki kabisa za manunuzi na gharama rafiki kabisa za matunzo pia
Ingia google andika autotrader bofya kwenya plants andika model na brand yake ukimaliza muandikie email mwambie akupe bei pamoja shipping hadi Daresalaam Tanzania.