Taratibu za kufuata katika kuagiza bidhaa za vinywaji kutoka nje ya nchi

Joined
Sep 23, 2014
Posts
7
Reaction score
1
Habari yenu wana JF, Naomba msaada kwa anaeelewa taratibu za kuagiza vinywaji moto na baridi kutoka nje ya nchi. Gharama za ushuru mpakani zipoje kwa vinywaji? TFDA au TBS ni mamlaka ipi inaruhusu au kuidhinisha uingizwaji wa bidhaa hizo? Mimi nipo Mbeya nataka kuagiza vinywaji kutoka nchi za Zambia na Malawi. Ahsanteni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…