alteza
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 209
- 53
wakuu salama humu
naomba mnijuze ni taratibu gani za kufuata wakati wa kununua ardhi ambayo haijasajiriwa au inayomilikiwa kimila (yaan haina hati)
maana land act haijazungumzia utaratibu kwa iyo naomba msaada wenu inakuwaje katika practice
thanks in advance
naomba mnijuze ni taratibu gani za kufuata wakati wa kununua ardhi ambayo haijasajiriwa au inayomilikiwa kimila (yaan haina hati)
maana land act haijazungumzia utaratibu kwa iyo naomba msaada wenu inakuwaje katika practice
thanks in advance