Taratibu za kuingiza gari nchini

gxrenny

New Member
Joined
Apr 17, 2010
Posts
3
Reaction score
0
Hello wanajamii! Naombeni kufahamishwa kuhusiana na taratibu na kanuni za kisheria za kuagiza gari nje ya nchi. Hii ni pamoja na jinsi ya kulitoa bandarini lini na ushuru unaotakikana kisha TRA hadi ninapo kuwa mmiliki halali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…