G gxrenny New Member Joined Apr 17, 2010 Posts 3 Reaction score 0 Sep 29, 2010 #1 Hello wanajamii! Naombeni kufahamishwa kuhusiana na taratibu na kanuni za kisheria za kuagiza gari nje ya nchi. Hii ni pamoja na jinsi ya kulitoa bandarini lini na ushuru unaotakikana kisha TRA hadi ninapo kuwa mmiliki halali.
Hello wanajamii! Naombeni kufahamishwa kuhusiana na taratibu na kanuni za kisheria za kuagiza gari nje ya nchi. Hii ni pamoja na jinsi ya kulitoa bandarini lini na ushuru unaotakikana kisha TRA hadi ninapo kuwa mmiliki halali.
M matambo JF-Expert Member Joined May 14, 2009 Posts 727 Reaction score 118 Sep 29, 2010 #2 pitia hapa panaweza kuwa na msaada kwako www.gariyangu.com
Mfamaji JF-Expert Member Joined Nov 6, 2007 Posts 6,630 Reaction score 1,945 Sep 29, 2010 #3 Nenda kwenye thread hii. https://www.jamiiforums.com/business-and-economic-forum/72230-malipo-kwa-gari-kuukuu.html
Nenda kwenye thread hii. https://www.jamiiforums.com/business-and-economic-forum/72230-malipo-kwa-gari-kuukuu.html