kusangala Member Joined Mar 4, 2017 Posts 60 Reaction score 26 Mar 10, 2017 #1 Wakuu,,napenda nijue taratibu za kukata rufaa ktk kesi ya jinai ambayo ilikuwa ktk mahakama ya wilaya,,process zipi zifuatwe baada ya kupata nakala ya hukumu? Na je uhakika wa mtuhumiwa aliyeachiwa huru kutiwa hatiani upo ktk rufaa?
Wakuu,,napenda nijue taratibu za kukata rufaa ktk kesi ya jinai ambayo ilikuwa ktk mahakama ya wilaya,,process zipi zifuatwe baada ya kupata nakala ya hukumu? Na je uhakika wa mtuhumiwa aliyeachiwa huru kutiwa hatiani upo ktk rufaa?
Kambaku JF-Expert Member Joined Nov 12, 2011 Posts 8,332 Reaction score 31,306 Mar 10, 2017 #2 Kusangala sometimes tujitunze ku let things go. Kesi zinapoteza sana muda na hela. Kama unaona mahakama haijakutendea haki Mungu atakutendea Muda ni mahakama tosha kabisa, achana nayo kesi hiyo utajiumiza mwili na roho mkuu
Kusangala sometimes tujitunze ku let things go. Kesi zinapoteza sana muda na hela. Kama unaona mahakama haijakutendea haki Mungu atakutendea Muda ni mahakama tosha kabisa, achana nayo kesi hiyo utajiumiza mwili na roho mkuu
M mwarabu wa dubai JF-Expert Member Joined Nov 29, 2015 Posts 317 Reaction score 307 Mar 10, 2017 #3 Kambaku said: Kusangala sometimes tujitunze ku let things go. Kesi zinapoteza sana muda na hela. Kama unaona mahakama haijakutendea haki Mungu atakutendea Muda ni mahakama tosha kabisa, achana nayo kesi hiyo utajiumiza mwili na roho mkuu Click to expand... Are you a Lawyer?
Kambaku said: Kusangala sometimes tujitunze ku let things go. Kesi zinapoteza sana muda na hela. Kama unaona mahakama haijakutendea haki Mungu atakutendea Muda ni mahakama tosha kabisa, achana nayo kesi hiyo utajiumiza mwili na roho mkuu Click to expand... Are you a Lawyer?
Kambaku JF-Expert Member Joined Nov 12, 2011 Posts 8,332 Reaction score 31,306 Mar 10, 2017 #4 mwarabu wa dubai said: Are you a Lawyer? Click to expand... Not I am not