kwanini bro alaf nimesikia kwamba unaweza ukalipia laki moja na ishirini ukatafuta mwalimu msahihishaji wa kwako mbona naona kwamba hiyo itasaidia
Kwa matokeo yako hapo juu yanaonyesha wazi kwamba wewe ni kilaza wa kutupwa. Usisumbuke kukata rufaa.
kwanini bro alaf nimesikia kwamba unaweza ukalipia laki moja na ishirini ukatafuta mwalimu msahihishaji wa kwako mbona naona kwamba hiyo itasaidia
acha kujisumbua 4m 4 wali appeal wa2 300 na kidogo yalibadilika matokeo ya watu wa 2 tu.
4m six 2011 wote walio appeal hakuna alie badilusha ki2. Kama ikitokea mtu marks 5 zimeongezeka walio sahihisha huo mtihani lazima waandike maelezo kwann wamekudhulumu
so kijana usipoteze hela bule, we husika na education kijanas