Habar Wapendwa.. Naomb kuuliza iv taratibu za kukodi shamba zipoje? Nataka nikodi shamba eka mbili mikese sa unaweza jikuta unapewa shamba lenye migogoro, au unatapeliwa.. Na je ikitokea ivo unatakiwa ufanye nin?
Habar Wapendwa.. Naomb kuuliza iv taratibu za kukodi shamba zipoje? Nataka nikodi shamba eka mbili mikese sa unaweza jikuta unapewa shamba lenye migogoro, au unatapeliwa.. Na je ikitokea ivo unatakiwa ufanye nin?
Natanguliza salamu pia...
Mashamba yapo kama hutojali yakununua na yakukodi na hayana migogoro yeyote ile!...sema tu yapo eneo tofauti na ulitakalo! Tunaweza kuwasiliana kama hutojali!...