Taratibu za kupata laini ya biashara

pet geo pet

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2018
Posts
508
Reaction score
788
Wakuu habari?kama kichwa cha habari kisemavyo .

Hatua zipi nizifuate ili niweze pata laini ya biashara,kama vile tigo pesa na m.pesa.

Hatua hizo ziwe za kiserikali na kimakapuni ya simu.

Pia naomba kujuzwa gharama itakuwa kiasi gani mpaka kupata laini hizo mbili.
Mawazo yako ni mhimu sana kwani siku hizi matapeli ni wengi sana....sio serikalini wala kwenye makapuni ya simu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…