Taratibu za kurenew passport ziangaliwe upya

Taratibu za kurenew passport ziangaliwe upya

Mparee2

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2012
Posts
3,092
Reaction score
5,386
Napendekeza passport ikiisha muda wake au kujaa; mtu apewe nyingine kwa taratibu rahisi kwa sababu anafahamika na sio kuanza mlolongo wa maombi mapya kama mtu ambaye hajawahi kumiliki passport

Nafikiri mtu angetakiwa tu awakilishe copy ya NIDA na pengine kuwepo na fomu rahisi ya kujaza vile vitu vilivyo badilika kama vipo.

Huu utaratibu unaotumika sasa wa kuanza maombi mapya nafikiri ulikuwa wa miaka hiyo wakati technologia ikiwa DUNI, lakini kwa sasa kila kitu kipo digital hivyo naona kama ni taratibu zilizopitwa na wakati....
 
Labda wewe ndiye usiyeelewa, hapo zamani hawakuwa na digital system kila kitu kilikuwa manual, hivyo kama ulikuwa na passport ya zamani iliyotengenezwa kwa manual system wanahitaji ku update taarifa zako kutoka manua kwenda digital. Ili sasa ukiisha ingizwa kwenye mfumo na vithibitisho vyako vyote, sasa ikiisha muda hutohitaji kutafuta taarifa za nyuma, kwa maana ziko kwenye kanzi data tayari.
Vumilia bado tunaijenga nchi yako.
 
Napendekeza passport ikiisha muda wake au kujaa; mtu apewe nyingine kwa taratibu rahisi kwa sababu anafahamika na sio kuanza mlolongo wa maombi mapya kama mtu ambaye hajawahi kumiliki passport

Nafikiri mtu angetakiwa tu awakilishe copy ya NIDA na pengine kuwepo na fomu rahisi ya kujaza vile vitu vilivyo badilika kama vipo.

Huu utaratibu unaotumika sasa wa kuanza maombi mapya nafikiri ulikuwa wa miaka hiyo wakati technologia ikiwa DUNI, lakini kwa sasa kila kitu kipo digital hivyo naona kama ni taratibu zilizopitwa na wakati....
Si kila anayefanikiwa kupata pasipoti anakuwa ametimiza masharti kihalali, kwenye korido za uhamiaji wapo madalali wanaowawezesha watu kupata pasipoti bila kuwa na uhalali, kwa binaadamu lolote linawezekana ila utagundulika mbele ya safari.
 
Si kila anayefanikiwa kupata pasipoti anakuwa ametimiza masharti kihalali, kwenye korido za uhamiaji wapo madalali wanaowawezesha watu kupata pasipoti bila kuwa na uhalali, kwa binaadamu lolote linawezekana ila utagundulika mbele ya safari.
Nakubali
 
IMG_0504.jpg
 
"If you can't explain it to a six year old it means you don't understand it yourself. Albert Einstein.
Sasa kuambiwa kwamba mkanganyiko wa muundo wa muungano unaweza kueleweka na akili kubwa tu ni dhana ngumu kwangu.
 
Back
Top Bottom