Taratibu za kusajiri kampuni ya uwakala wa mauzo ya bidhaa mbalimbali(Sales Agent Company)

diwan

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2012
Posts
308
Reaction score
114
Habari za jumapili wanajukwaa. Jamani naomba msaada wa juu ya taratibu na gharama ninazoweza kutumia kusajili kampuni ya uwakala wa mauzo wa bidhaa na huduma mbalimbali. Natumaini kupata ushirikiano kutoka kwenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…