pangakali 2
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 239
- 221
Kutokana na kushuka kwa biashara yangu imeniwea ugum hadi katika uendeshaji wake kiasi cha kuanza kukopa huku na kule na kuongeza mzigo lakini jitihada zimegonga mwamba.
Msaada mwenye kujua taratibu za kusimamisha leseni ya biashara kisheria kwa upande wa TRA na Manispaa. Nisubirie upepo huu upite na kujipanga upya.
Msaada mwenye kujua taratibu za kusimamisha leseni ya biashara kisheria kwa upande wa TRA na Manispaa. Nisubirie upepo huu upite na kujipanga upya.
Fika ofisi za TRA ulipo sajili biashara yako utapata muongozo na vitu vya kufanya, ila kwa ushauri tu kama biashara haieleweki lkn unaona mbele inaweza kueleweka ni heri uwe unapeleka taarifa za kutokufanya biashara/mauzo kuliko kuisimamisha/kuifunga kwa muda,
Process za kuanza kuirudisha tena zitakugharimu zaidi, tafuta auditors wakuandikie hamna ulichoingiza kwa kipindi hicho uwasilishe TRA.
kila la kheri chief.