Under 18 Member Joined Feb 28, 2019 Posts 27 Reaction score 35 May 23, 2019 #1 Habari wadau, Nahitaji msaada kwa yoyote anaejua taratibu na gharama za kupokea gari iliyotumwa kutoka nje. Si la kununuliwa, bali mtu alikuwa akitumia. N.b Je, gharama ni zile zile kama za kununua be forward au kwingine?
Habari wadau, Nahitaji msaada kwa yoyote anaejua taratibu na gharama za kupokea gari iliyotumwa kutoka nje. Si la kununuliwa, bali mtu alikuwa akitumia. N.b Je, gharama ni zile zile kama za kununua be forward au kwingine?
Behaviourist JF-Expert Member Joined Apr 8, 2016 Posts 39,926 Reaction score 95,626 May 23, 2019 #2 Under 18 acha kupata taabu, nenda TRA kitengo cha customs utapata maelezo yote!
Under 18 Member Joined Feb 28, 2019 Posts 27 Reaction score 35 May 24, 2019 Thread starter #3 Behaviourist said: Under 18 acha kupata taabu, nenda TRA kitengo cha customs utapata maelezo yote! Click to expand... Nashukuru,nitajongea hapo
Behaviourist said: Under 18 acha kupata taabu, nenda TRA kitengo cha customs utapata maelezo yote! Click to expand... Nashukuru,nitajongea hapo
Behaviourist JF-Expert Member Joined Apr 8, 2016 Posts 39,926 Reaction score 95,626 May 24, 2019 #4 ukiagiza hiyo gari bila kuwa na information kamili inakula kwako! Under 18 said: Nashukuru,nitajongea hapo Click to expand...
ukiagiza hiyo gari bila kuwa na information kamili inakula kwako! Under 18 said: Nashukuru,nitajongea hapo Click to expand...