Khabari wadau, yeyote mweny mchango hatua zinazopaswa kuchukuliwa ili kuanzisha kiwanda, unapataje eneo linalotakiwa kisheria kwa ajili ya kiwanda, na je utupaji majitaka kutoka kiwandani ( kiwanda cha saiz ya kati) kwenda kwenye mito inayopitisha maji taka inaruhusiwa ?