dega
JF-Expert Member
- Dec 18, 2012
- 3,172
- 3,082
(1) Tarehe 26/04/1964 Ndio siku ambayo Jamhuri ya Watu wa ZANZIBAR iliuwawa [State death]
(2) Tarehe 26/04/1964 Ndio siku ambayo Wazanzibar walipoteza mamlaka yao [Sovereignty] ya Nchi yao.
(3) Tarehe 26/04/1964 Ndio siku Wazanzibar walipoteza uraia wao [CITIZENSHIP] wao.
(4) Tarehe 26/04/64 Ndio siku ambayo Rais wa JAMHURI YA WATU ZANZIBAR alikoma [cease]kuwa Amiri Jeshi Mkuu.
(5) Tarehe 26/04/1964 Ndio siku Wazanzibar walipoteza kitu chao UMOJA WA MATAIFA.
ANGALIA:
# ZANZIBAR imetoka kuwa DOLA hadi MKOA.
#Uzanzibar umetoka ktk hadhi ya URAIA hadi UKAAZI.
#Rais wa ZANZIBAR kutoka Amiri Jeshi Mkuu hadi KAMANDA MKUU WA IDARA MAALUM.
#Kutoka Rais wa DOLA YA ZANZIBAR hadi WAZIRI ASIYE NA WIZARA MAALUM.
#ZANZIBAR kutoka mwanachms wa U.N hadi kukataliwa kujiuna na FIFA.
JUWA KWAMBA:
#Hakua kitu chochote Duniani kitakachoweza kufidia Wazanzibar kupoteza Utaifa wao.
#Hakuna kitu chochote Duniani kitakachoweza kufidia Wazanzibar kupoteza Dola yao
#HAKUNA KITU CHOCHOTE DUNIAN KILOCHOWEZA/ KINACHOWEZA/KITAKACHOWEZA KUFIDIA HASARA WALIOIPATA WAZANZIBAR TAREHE 26/04/195
SIKU YA MSIB MZITO.
(2) Tarehe 26/04/1964 Ndio siku ambayo Wazanzibar walipoteza mamlaka yao [Sovereignty] ya Nchi yao.
(3) Tarehe 26/04/1964 Ndio siku Wazanzibar walipoteza uraia wao [CITIZENSHIP] wao.
(4) Tarehe 26/04/64 Ndio siku ambayo Rais wa JAMHURI YA WATU ZANZIBAR alikoma [cease]kuwa Amiri Jeshi Mkuu.
(5) Tarehe 26/04/1964 Ndio siku Wazanzibar walipoteza kitu chao UMOJA WA MATAIFA.
ANGALIA:
# ZANZIBAR imetoka kuwa DOLA hadi MKOA.
#Uzanzibar umetoka ktk hadhi ya URAIA hadi UKAAZI.
#Rais wa ZANZIBAR kutoka Amiri Jeshi Mkuu hadi KAMANDA MKUU WA IDARA MAALUM.
#Kutoka Rais wa DOLA YA ZANZIBAR hadi WAZIRI ASIYE NA WIZARA MAALUM.
#ZANZIBAR kutoka mwanachms wa U.N hadi kukataliwa kujiuna na FIFA.
JUWA KWAMBA:
#Hakua kitu chochote Duniani kitakachoweza kufidia Wazanzibar kupoteza Utaifa wao.
#Hakuna kitu chochote Duniani kitakachoweza kufidia Wazanzibar kupoteza Dola yao
#HAKUNA KITU CHOCHOTE DUNIAN KILOCHOWEZA/ KINACHOWEZA/KITAKACHOWEZA KUFIDIA HASARA WALIOIPATA WAZANZIBAR TAREHE 26/04/195
SIKU YA MSIB MZITO.