Tarehe 01/03/2014, Young Africans iliichapa Al Ahly 1:0, Miaka 10 iliyopita, Je Historia Itajirudia Leo

Wakati uo Simba wanaitwa wa matopeni, miaka 5 hawajagusa kombe la ligi kuu uku Azam akigusa mara Moja tu.
Sasa ivi wameanza kupanda ndege wanajiona wajanja kumbe MO Alisha inunua zamaani!! [emoji1][emoji1][emoji1]
 
Yanga kipindi hicho ilishuka daraja,walicheza ligi gani?hawa vyura bhana
 
Al Ahly 1 - 2 Young Africans


Young Africans Road To Final CAFCL
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…