Askari Muoga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 6,113
- 4,658
Sema haki ya naniHadi sasa Yanga fc INA point 62 na michezo 3
Simba sc INA point 62 na michezo
Simba sc vs mwadui Simba inafungwa,Kisha Tarehe 16 Yanga inatangaza ubingwa
Najia Malinzi ameshawaambia hivyo, kapanga kila kitu! Safi sana kwa soka la bongo.Hadi sasa Yanga fc INA point 62 na michezo 3
Simba sc INA point 62 na michezo
Simba sc vs mwadui Simba inafungwa,Kisha Tarehe 16 Yanga inatangaza ubingwa
Acha maneno chezeni mpira...Najia Malinzi ameshawaambia hivyo, kapanga kila kitu! Safi sana kwa soka la bongo.
Kama ubingwa wa ndani unawashinda mtawezaje kuiwakilisha nchi ? Kaeni huko huko mchanganiSimba ilijichanganya yenyewe, so Yanga ina nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa japo si habari nzuri kwetu wadau wa soka maana nchi imekuwa haina uwakilishi mzuri kimataifa kwa karibu miaka 5!
Yanga oyeeeeeee
Nyie mikia mliopigwa katerero na kagera sugar mnajisifia kwa kugongwa na liboro halafu eti uwakilishi mzuri.Mzuri gani unagongwa katerero na kagera?Simba ilijichanganya yenyewe, so Yanga ina nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa japo si habari nzuri kwetu wadau wa soka maana nchi imekuwa haina uwakilishi mzuri kimataifa kwa karibu miaka 5!
Aveva anaenda kwa mguu ndo kwanza yupo hapo Kiluvya.Wazeee wa kwenda FIFA wamefikia wapi
Hawa Mezani FC ni shida, katerero imewavuruga aisee.....Nyie mikia mliopigwa katerero na kagera sugar mnajisifia kwa kugongwa na liboro halafu eti uwakilishi mzuri.Mzuri gani unagongwa katerero na kagera?
hahahahahahahahahaahaha..........................balaaaaaaa kubwa sanaAveva anaenda kwa mguu ndo kwanza yupo hapo Kiluvya.