Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Maana wao wanakuwa kama maafisa usafi wa Jiji. Haya mambo utayasikia tu Afrika. Ulaya na Marekani ni ngumu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
S mkatae kufanya upumbavuMaana wao wanakuwa kama maafisa usafi wa Jiji. Haya mambo utayasikia tu Afrika. Ulaya na Marekani ni ngumu.
Shijenawa wa Bongo wanatumika kisiasi yaan aibu sana wamekua km embizoma yaan ni aibu kwa Taifa hawana kauli mbele ya wanasiasaMaana wao wanakuwa kama maafisa usafi wa Jiji. Haya mambo utayasikia tu Afrika. Ulaya na Marekani ni ngumu.
Wamezoea kuua, wacha waje waue tena raia wasio na hatia kama walivyomuua Akwelina.Maana wao wanakuwa kama maafisa usafi wa Jiji. Haya mambo utayasikia tu Afrika. Ulaya na Marekani ni ngumu.
Shijenawa wa ngobo sijui wamekuaje wengine ni kabanawa na tiwilaku watoto sike zinarushwarushwa, sasa wanataka kuonea watu hio trh 23 sawa wawaonee tuUsiwahusishe na utekaji wa ndugu zetu.
Banana Republic😂😂😂Maana wao wanakuwa kama maafisa usafi wa Jiji. Haya mambo utayasikia tu Afrika. Ulaya na Marekani ni ngumu.