Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 2,254
- 5,161
Huko sijui CAF, sijui wapi, siyo suala kubwa sana. Sisi Yanga tutamchapa Simba kila mchezo ambao tutakutana naye. Tutamchapa ndani, tutamchapa nje.
Hili liwekeni akilini. Haya mengine ya sijui CAF, siju Confideration ni ziada tu. sisi tunapambana sana tuweze weka heshima mjini. Tumchape Simba na timu zote za NBC League. Sisi ni mabingwa wa kihistoria.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hili liwekeni akilini. Haya mengine ya sijui CAF, siju Confideration ni ziada tu. sisi tunapambana sana tuweze weka heshima mjini. Tumchape Simba na timu zote za NBC League. Sisi ni mabingwa wa kihistoria.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂