Muuza Sura
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,985
- 1,352
Eti Dj Zero vs Dj JD!! huyo sifuri aliyefundishwa kazi na Majizo! Zero anajua kutumia turn table? Atakimbilia kwenye zile zile American Kit! Sifuri kabisa!
Dj jD ni old fashion ..Zero ni new generation..Kwa bahati nzuri nmehudhuria show nyingi Jd (club) na redion nimemsikilza sana Yan umlete sas hv umshndanshe na Zero?lzma atapotea huyu jamaa anaturushaga sana maisha club na hapo XXL ndo ucpme yoo..
unashobokea michongo ya mwanaume mwenzako????
hakuna sweet music ww acha ushamba, ni str8 Music, we umekuja mjini jana nn?
DMX anaimba kiingereza na kuwatukana bado mnaenda kumshangilia kwa malipo ya bei mbaya huo si ulimbukeni?
inaelekea unapenda ubrazameni ila nyenzo huna!!!!maisha club sijui XXL mwenyewe ndo unaona umeongea!!ushauri mmoja mdogo wangu mimi nataka uwakimbize vijana wenzako hapa mjini!ntakupa pamba za ukweli na manukato toka mbele,usafiri ila siyo wotewote kwa muda!nakuPM namba zangu za simu unitafute nakupromise hutosikia maumivu ntatumia KY halafu sitowatangazia watu!hayo maisha unayoyatamani utayapata tu!si unaona B12 anavyopendeza siku hizi.......tofauti na alivyokuwa IFM
Itakuwa ni siku ya jumamosi ya wiki hii ambayo imesheheni mapambano mengi kama yafuatayo...
1.Sugu vs Ruge
2.Vinega vs T.H.T
3.Sayansi vs Leaders
4.Deiwaka ent vs Sweet music
5.Dj Jd vs Dj Zero
6.Business times vs Prime time promotion
7.Wahuni vs wastaarabu
8.Wasanii waliopotea vs wasanii wanaotamba
9.Times fm vs Clouds fm..
Na kiukweli times hawana uwezo mkubwa wa kuupromote muziki kama clouds,kwa kuwa redio yenyewe tu ukifika kibaha tu hapo chenga tofauti na clouds inasikika almost Tz nzima..
Bandugu tukutane Leaders tukaburudike na Dark Money X(DMX) na mtu mzima Fabolous (Losso)..huko ustawi wa jamii kutakuwa fujo na matusi tu..
We be killin em yoo...
XXL ndio nini ?
we unadhani u dj ni kuplay nyimbo tu km kwenye window media player?
nipe cv ya huyo dj zero kwanza
Unataka ukutane na mimi!khaa ili unijue?khaa ukinijua mimi ni nani utaniganda...masharo'uharo' utawajua tu..Inaelekea unapenda sana mauzo halafu watu hawakuiti muuza sura,ukaamua kujiita khaa..afu unaonekana unapenda sana kushobokea ma star!khaa mdananda yoo...
Unataka ukutane na mimi!khaa ili unijue?khaa ukinijua mimi ni nani utaniganda...masharo'uharo' utawajua tu..Inaelekea unapenda sana mauzo halafu watu hawakuiti muuza sura,ukaamua kujiita khaa..afu unaonekana unapenda sana kushobokea ma star!khaa mdananda yoo...
wewe ni jinsia ile wanaochuchumaa wakipunguza mafuta kweny tank eheee ,.yooo
Man hiki sasa kichekesho na tusi kwa wapenda muzikiDj jD ni old fashion ..Zero ni new generation..Kwa bahati nzuri nmehudhuria show nyingi Jd (club) na redion nimemsikilza sana Yan umlete sas hv umshndanshe na Zero?lzma atapotea huyu jamaa anaturushaga sana maisha club na hapo XXL ndo ucpme yoo..
Man hiki sasa kichekesho na tusi kwa wapenda muziki
Yo Yo huyu nafikiri akili yake ni kama jina la huyo Dj wake anayemsifiaMan hiki sasa kichekesho na tusi kwa wapenda muziki
Sio Dark Money X mngese wewe ni Dative Man X!! watakuwa wan kukameruni!!Itakuwa ni siku ya jumamosi ya wiki hii ambayo imesheheni mapambano mengi kama yafuatayo...
1.Sugu vs Ruge
2.Vinega vs T.H.T
3.Sayansi vs Leaders
4.Deiwaka ent vs Sweet music
5.Dj Jd vs Dj Zero
6.Business times vs Prime time promotion
7.Wahuni vs wastaarabu
8.Wasanii waliopotea vs wasanii wanaotamba
9.Times fm vs Clouds fm..
Na kiukweli times hawana uwezo mkubwa wa kuupromote muziki kama clouds,kwa kuwa redio yenyewe tu ukifika kibaha tu hapo chenga tofauti na clouds inasikika almost Tz nzima..
Bandugu tukutane Leaders tukaburudike na Dark Money X(DMX) na mtu mzima Fabolous (Losso)..huko ustawi wa jamii kutakuwa fujo na matusi tu..
We be killin em yoo...
Nimeipenda hii!!Bora kabadilisha maana ile ID ilikua inabeba maana kubwa wakati nikilaza.kw nn asijiite mrs.ruge
naona unarudia maneno yangu niliyokuchana recently!dogo mimi na wewe hatufanani!usije ukajidanganya kama unaweza hata kutoa draw na mimi kimjinimjini,pesa wala status!...f.y.i mimi ni mkali wa wakali wako siyo bongo mpaka mbele!toa namba tukulee ndo zetu!KY tunatumia.....usizuge jamvini bahati ikakupita watu doo lipo kama vipi hata safari ya china tunakupa!
cameroon wewe....