Duh , ebwanaeee ,Kwa hiyo mwamba alioa wote wawili au sio ?wamama wawili ni wajane wa Mobutu na ni mapacha kutoka tumbo moja. [emoji15]
Huyu wa pili kutoka kushoto alikua mistress wake tangu akiwa na mke wa kwanza. Baada ya kufiwa na mkewe alimuoa na alipomuona pacha wake waliofanana kabisa aliamua kuoa wote wawili ingawa huyu pacha alikua kwenye ndoa, mume alimuachia mwenye nguvu mke.wamama wawili ni wajane wa Mobutu na ni mapacha kutoka tumbo moja. [emoji15]
Kuwa na hela raha sana....Huyu wa pili kutoka kushoto alikua mistress wake tangu akiwa na mke wa kwanza. Baada ya kufiwa na mkewe alimuoa na alipomuona pacha wake waliofanana kabisa aliamua kuoa wote wawili ingawa huyu pacha alikua kwenye ndoa, mume alimuachia mwenye nguvu mke.
Kuwa na hela raha sana....
Baba yangu mzazi alikuwa na wake5...wa2 kati ya hao ni mtu na mdogo wake tumbo moja.Duh , ebwanaeee ,Kwa hiyo mwamba alioa wote wawili au sio ?
Na hasa kwa kitendo cha kumuua LumumbaHasa za dhuluma ! Maana waweza fanya ushetani wowote upendavyo ! This man for sure must be languishing in hell !