Tarehe 8 Septemba, 2022 ilikua miaka 25 tangu kifo cha Mobutu Seseko

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011

Familia yake ilifanya misa ya kumbukumbu jana nchini Morocco, hao wamama wawili ni wajane wa Mobutu na ni mapacha kutoka tumbo moja. Hawa wanaume ni watoto wa Mobutu.

Mobutu aliwekeza mali nyingi Morocco ikiwemo kufungua kiwanda cha jutengeneza magari ya kifahari. Uwekezeji mwingine aliufanya Ureno ambako wajane wake wanamiliki nyumba kadhaa na wanaishi nchi zote mbili Morocco na Ureno.
 
wamama wawili ni wajane wa Mobutu na ni mapacha kutoka tumbo moja. [emoji15]
Huyu wa pili kutoka kushoto alikua mistress wake tangu akiwa na mke wa kwanza. Baada ya kufiwa na mkewe alimuoa na alipomuona pacha wake waliofanana kabisa aliamua kuoa wote wawili ingawa huyu pacha alikua kwenye ndoa, mume alimuachia mwenye nguvu mke.
 
Kuwa na hela raha sana....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…