Tarehe 9 Disemba naelekea Kagera kupiga pushap; Mniunge mkono tafadhali

Nibozali

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2016
Posts
572
Reaction score
1,055
Kama ishara ya upendo wangu kwake, nimedhamiria siku ya kusherehekea kumbukumbu ya nchi yetu kupata Uhuru kwa kuelekea kagera ambapo pamoja na mambo mengine nitadhuru eneo maarufu ambalo linapendekezwa kujengwa mnara Wa kumbukumbu, eneo LA pushap.

Kama mnakubaliana na kazi au utendaji wake basi Sikh hiyo mtaungana na Mimi lakini kama hamkubaliani na utendaji wake basi nataraji kuwa Sikh hiyo nitakuwa peke yamgu pale uwanjani na wala sitapata hata matazamaji.

Ni hayo tu
 
Push up za nn mkuu wakati bodyguard unao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…