S svoca JF-Expert Member Joined Jun 6, 2014 Posts 373 Reaction score 69 Feb 24, 2015 #1 Samahani wataalamu, nina mke wangu ametoka katika siku zake tangu tarehe 12 mwezi huu, sasa tarehe 24 kama nimekutana nae anaweza kupata ujauzito?
Samahani wataalamu, nina mke wangu ametoka katika siku zake tangu tarehe 12 mwezi huu, sasa tarehe 24 kama nimekutana nae anaweza kupata ujauzito?
CharmingLady JF-Expert Member Joined Apr 16, 2012 Posts 18,296 Reaction score 12,972 Feb 24, 2015 #2 Kwenye mada umeandika vyema ila kwenye heading majanga. Ukiwa unahitaji msaada ni vyema ukaandika kiswahili fahasa, kwani heading yako inaweza kusababisha watu wakaignore thread yako!
Kwenye mada umeandika vyema ila kwenye heading majanga. Ukiwa unahitaji msaada ni vyema ukaandika kiswahili fahasa, kwani heading yako inaweza kusababisha watu wakaignore thread yako!