wewe jamaa kaa kimya yaani unachemka mpaka noma! aidha unaongea sana bila kufikiria au ni mweupe, a dingus...inaboa kukusoma!!
Mwambie Invisible anifungie na nitaacha kuongea,na kwanini unanitusi..Mie sasa naona kuna kitu ambacho invisible anikebebe,mtuambie kama siyo mtu wa CHADEMA na una mawazo mazuri usichangie.hauwezi kuniambia maneno kama haya na ukaachwa..umeni insult
Kama inaboa kwanini huwa unapoteza muda wako kusoma post zangu.Sifikiri kuacha kuandika na nitaendelea kuandika mambo yote yanayokuboa
Pumba tupu! sina interest yeyote ya wewe kufungiwa na sijui ya Chadema wala Invisible...kwa ufupi masiasa yenu ya Simba na Yanga mie simo.
Ila kwa taarifa tu, Tanzania ni State!!
have a nice day.
Mkuu taratibu kisha angalia mipaka yako utawekwa lock up ukiteleza ulimi wako naona unako elekea siko.Heshimu mawazo ya mtu kama kakosea si umkosoe alipo kosea kuliko kumkatisha tamaa!Hili ni tatizo kubwa sana kwa waswahili kukatishana tamaa.
KAMA UNA USHAHIDI PELEKA POLISI???????
Ndugu PM.....
Huyo Mwalimu hapo juu wakusudia Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.......?QUOTE]
..hapana sokoine hakuuliwa na nyerere...kifo cha sokoine unaweza kukiita it was like internal power struggle...au inaweza kuwa stand yake kwenye vita dhidi ya uhujumu wa uchumi.....ambayo aliwataka viongozi kuongoza kwa mfano...alitaka vita dhidi ya wahujumu wa uchumi ianzie juu kwa watu kama cleopa msuya..kawawa and the like...kama ni kukagua alitaka waaze kupekuliwa hao....na marafiki zao..so mwalimu really was out of it....tatizo ni vigogo waliokuwa chini ya mwalimu waliona sokoine anakuwa mkali...na wakajaribu kufikiria itakuwaje ..kama atakuwa rais...kwani mwalimu alitegemea kumwachia madaraka .....
........vita ya kugombea kuwa namba mbili ..pia tunakumbuka enzi ya kambona ..alivyochonganishwa na mwalimu..pale kawawa alipokuwa akihisi kuwa ....wanagombea nafasi ya pili kutoka kwa mwalimu...kwa kuaminiwa...hasa ..kambona alipoenda mbele zaidi ya kuaminiwa alipozima maasi...watu kama kawawa ..walimwambia mwalimu kuwa kambona ndiye aliyeandaa maasi....
.....so watuhumiwa wakuu wa kifo cha sokoine wapo...tena wapo hai...lakini mwalimu hakuwa mmoja wao!!!