Tarehe kama ya leo (Februari 21, 1965) Malcom X aliuawa

Tarehe kama ya leo (Februari 21, 1965) Malcom X aliuawa

MURUSI

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2013
Posts
4,537
Reaction score
8,824
Tarehe kama ya leo mwaka 1965 Malcom X aliuawa kwa kupigwa risasi, huyu Mwamba ni moja ya wapigania haki weusi huko Marekani aliyekuwa na ushawishi mkubwa sana.

RIP MLCOM X

FB_IMG_1645423863276.jpg
 
Dunia haijawahi kuwa sehemu ya haki! Hakuna kitu matajiri wanachukia kama kutaka wawe sawa kwa haki na maskini! Ukijaribu tu huwa wanaungana na kuhakikisha wanakuondoa.
 
Dunia haijawahi kuwa sehemu ya haki! Hakuna kitu matajiri wanachukia kama kutaka wawe sawa kwa haki na maskini! Ukijaribu tu huwa wanaungana na kuhakikisha wanakuondoa.
Kabisa
 
22 Nov 1963

4 April 1968

17 January 1961

15 October 1987

17 March 2021
 
Back
Top Bottom