Kiukweli kibiology kitu kama hicho hakipo.... Ila kinaweza kutokea kwa wale wanawake wenye FSH kwa wingi na LH pia! Hizi ni hormone zinazosababisha kutoka kwa yai kwenye Ovaries.. Sasa inaweza akawa amemaliza MP lakini yai jingine likatoka katika ovary nyingine.. Lakini huyo mwanamke si kwamba anamimba bali anahofu ya kupata mimba ndo mana amemwambia anahisi anamimba, sasa inaweza ikatokea akahisi mate machungu kumbe yametokana na ki2 kingine yeye akahisi ni MIMBA,sasa cha kufanya si kumfuata na kumwambia mimba aliyonayo ni ya m2 mwingne...FANY HIVI: Mwambie kuwa mimba kuipata wakat umetoka hedhi ni ki2 ambacho hakiwezekani halaf mwambie asubiri mpaka tarehe nyingne ya bleed aone kama hata bleed.. Mpe moyo kwamba ataingia period tu.....NA ki2 kimoja kinaweza tokea, anaweza akasubiri mpaka siku ya bleed lakini hata ikipita siku moja atakufuata na kuanza kukuuliza..mwambie asiwe na haraka ataingia 2, hiyo inawezwa sababishwa na hofu ndo mana ikapitiliza...ni hayo 2