Pasco_jr_ngumi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 1,802
- 283
Inawezekana kama haiwezekani. Ya mwisho alipata period ni lini? na kwa kawaida anapata period kila baada ya siku 28 ao 30? piga hesabu kuanzia siku ya kwanza aliona period mara ya mwisho, hesabu siku nane. kuanzia hapo kuna hatari hadi siku aya 16. baada ya hapo nafuu kidogo (kama ana pata kila baada ya siku 18). I hope naeleweka, vingine kanunue kale ka test ni Tsh 1000 tu.WanaJF mambo vp? Naombeni msaada kwenu.Mwenzi wangu huwa anaingia kwenye siku zake kati ya tarehe 8 au 10 lakini hadi leo tarehe 12 hajaona chochote na mara ya mwisho tuliduu tarehe 27.5.2011 vp kwa tarehe hizo ndo kitu kinaweza kuwa tayari kimeingia au vp? Yeye anasema anasikia tumbo linauma halafu linaacha naombeni ushauri wenu wa kiudaktari.Natanguliza shukrani
kiburudisho,,,,,umemburudisha...............katoto tumboni kinaburudikaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,,,,,,,,,,,,,,,,,,safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaanaCONDOM?????????????????? MLISAHAUUUUUUUUUUUUUU??????????????????
P.didy nifafanulie bwana.Nitatambua kwa matendo kwani mimba ina viungo?
Nasikia kuna wengine kama umempa mwanamke mimba na wewe unaanza kusikia kichefuchefu.Hivi kwa mwanaume kuna hali gani unahc kama umempa demu mimba au mpaka akuambie?
Maana wanaume tumekuwa tunashtukizwa tu.
<br />rapid test zinaweza kuonyesha kuanzia 2 weeks <br />
<br />
lakini pia zipo ambazo after 1 week zinaonyesha.
<br />Hivi kwa mwanaume kuna hali gani unahc kama umempa demu mimba au mpaka akuambie?<br />
Maana wanaume tumekuwa tunashtukizwa tu.