Tarehe/siku nzuri kwa mimba kuweza kutungwa

Naomba radhi kwa kutumia neno x maana ya ngu nimpenzi wangu nilihitani kufahamu mengi zaidi kupitia maelezo niliyoandika chochote kinacho muhusu yeye nqmi nahusika
 
Naomba radhi kwa kutumia neno x maana ya ngu nimpenzi wangu nilihitani kufahamu mengi zaidi kupitia maelezo niliyoandika chochote kinacho muhusu yeye nqmi nahusika

umejifunza lini kusoma na kuandka?
 
ww suala la x wako kupata ujauzito linakuhusu nn na mlisha achana.au unataka kumkomoa acha upuuuzi dogo
 
Hesabu siku ya kwanza kupata hedhi had ya kumi hapo ni salama, siku ya 11 Hadi ya 18 ni hatari anaweza kupata mimba
 
Mke wangu amekua na Menstruation cycle ya siku 30,lakini mwezi uliopita imebadilika imekua 42days na abnormal bleeding...hapa nitaweza kuhesabu tena,naomba ushauri...
 
alie ongea hapo juu kwamba sijui asinywe peps au sprite ...sio vzr kama hujui usichangie maada...
nakushauri ...hesabu siku 5 za yeye kwenda health...then sikusaba baada ya health..ambazo ni salama. hapo tena siku 7mpaka nane kama yupo tu vzr katika siku 7hizo lazima apate mimba aki share sex...kama huto jali call 0755229028
 

Kwenda Health!??? Mkuu, na wewe ni Doctor kweli ama ni yule sijui wanamuita Doctor Manyaunyau!??
 
HESABU KUANZIA SIKU AMEANZA BLEED NA SIO TAREHE ZA MWEZI YAANI MFANO AMEANZA MWEZI WA PILI 18 BAS ANZA KUHESABU SIKU HIYO YA TAREHE 18 KAMA KAPICHA KANAVOSEMA APO NMEKUWEKEA
@MD/MLT
 

Attachments

  • 1487369215552.jpg
    17.2 KB · Views: 114
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…