Kigwema
Member
- Oct 29, 2014
- 50
- 29
Jamani naomba kujua, hivi baada ya majina ya waalimu kuondolewa na tangazo la kusitisha ajira mpya, je kwa sisi tuliokwishaona halmashauri zetu tunaruhusiwa kwenda kuripoti tarehe moja? Maana wengine tayari tupo safarini lakini tunaambiwa zimesitishwa!
Tunaomba ufafanuzi kwa anayefahamu please! Au turudi home??
Tunaomba ufafanuzi kwa anayefahamu please! Au turudi home??