ajira zinapangwa upya zote so kunakubadilishwa halmashaur uliyopangiwa sasa au kubak so wait mpk watoe tena majina upya
ajira zinapangwa upya zote so kunakubadilishwa halmashaur uliyopangiwa sasa au kubak so wait mpk watoe tena majina upya
swali ka msingi liko pale pale wakaripoti au wasubiri majina yatoke upya?
wasubir,wataripotije wakat ajira zimefutwa??
wasubir,wataripotije wakat ajira zimefutwa??
swali ka msingi liko pale pale wakaripoti au wasubiri majina yatoke upya?
wasubir,wataripotije wakat ajira zimefutwa??
kwa taarifa niliyoipata ni kwamba kuna chuo walimu hawajapata vituo vyao manaake hawakuwepo kwenye list ya jana ambacho ni SEKOMU
Kwa taarifa nilizopata ni kwamba Kama unajua kua wewe ulishapangwa na unajua halmashauri au kituo basi unatakiwa kwenda kuripoti kama kawaida.