Kijana Roman Bachelor na Ordinary diploma ni vitu viwili tofauti; Bachelor ni shahada ambayo pamoja na mambo mengine hutolewa baada ya mhitimu kuisotea si chini ya miaka mitatu na isiyozidi zita(Excluding wanaolazimika kusoma kwanza lugha ya taifa aliloenda kuchukua taaluma) O.D ni vocational qualification level ya tatu!
Mbili,kama umeshaweza kuingia JF na kupost walau ujumbe ina maana una uelewa kwa kiasi chako kwenye matumizi ya mtandao,sina hakika kama chuo tajwa hakina website ambayo inagekujibia maswali hako kwa usahihi zaidi kuliko utakayopata humu!