Tarehe ya kuzaliwa inahusika vipi na kununua king'amuzi?

nyumbamungu

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2017
Posts
1,033
Reaction score
895
Kwasasa mteja anaetaka kununua King'amuzi cha Azam anatakiwa kutaja tarehe yake ya kuzaliwa, ingawa sijafahamu kuna uhusiano gani kati ya tarehe ya kuzaliwa na kununua King'amuzi.

Kama Azam Media Ltd wanahitaji taarifa kamili za mteja kwanini wasimuombe mteja kitambulisho cha taifa au kama anazo namba (NIN) kwa wale ambao hawajakabidhiwa kitambulisho.
 
Dunia ya sasa kila mtu anataka namba maandalizi ya mpinga kristo ndicho kinachoendelea duniani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…