Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona eeh. ila mtu akiona tu jina lako bibie anaona helaWatu hatuna hela unatuletea habari za tarehe
Duh wewe si ulituzodoa tunaolialia kuibiwa buku 5 petrol station?!!!Watu hatuna hela unatuletea habari za tarehe
Watu hatuna hela unatuletea habari za tarehe
Mwambie Polepole akuunge na TASAF kaya Masikini.Watu hatuna hela unatuletea habari za tarehe
Kumbe na nyie mnakosaga hela?Watu hatuna hela unatuletea habari za tarehe
Fursa wapi basi, kupotezeana muda tu. Yaleyale tu ya eti ukiona mvua inanyesha na jua linawaka simba anazaaUkiachana na kwenda mbele na kurudi nyuma! Ina fursa gani zaidi[emoji2]? Au hivo tu?
Mwalimu Makanyaga wa Gairo unamjuaTarehe hii inasomeka sawa kutoka kotekote, yaani kutoka kulia kwenda kushoto, na kutoka kushoto kwenda kulia. Huwa ni adimu sana kwa tarehe za namna hii kujitokeza
[emoji3][emoji3][emoji3]Mwambie Polepole akuunge na TASAF kaya Masikini.
Kukosa hela ni mojawapo ya mambo katika 'package' ya chama ulichokuwa unapigia debe kipindi cha kampeni zilizopita.Watu hatuna hela unatuletea habari za tarehe