pettymarcel JF-Expert Member Joined Jun 17, 2012 Posts 2,161 Reaction score 880 Oct 16, 2012 #1 habari wakuu tarehe ya usaili kwa wale watu wa mikoa ya dsm,kilimanjaro, manyara, tanga extra imeshatangazwa ingia website ya utumishi then naomba mnitajie mkoa wa kilimanjaro tunafanya lini na mahali gani kwani kisimu changu kimegoma kufungua thanx
habari wakuu tarehe ya usaili kwa wale watu wa mikoa ya dsm,kilimanjaro, manyara, tanga extra imeshatangazwa ingia website ya utumishi then naomba mnitajie mkoa wa kilimanjaro tunafanya lini na mahali gani kwani kisimu changu kimegoma kufungua thanx
FirstLady1 JF-Expert Member Joined Jul 29, 2009 Posts 16,789 Reaction score 5,401 Oct 16, 2012 #2 ok Ngoja tukutafutie hizo information
CHIETH Senior Member Joined Aug 15, 2011 Posts 179 Reaction score 67 Oct 16, 2012 #3 Kuanzia Tarehe 25/10/2012 hadi 02/11/2012. Shida ni kwamba hawajaonyesha mahali pakufanyia usaili.
M mtendaji wa kijiji JF-Expert Member Joined Jul 3, 2012 Posts 533 Reaction score 115 Oct 16, 2012 #4 WE CHIETH umeangalia vibaya. Kilimanjaro na Arusha ni Tarehe 25 na 26 ofisi za wakuu wa mikoa
I Israel masawe Senior Member Joined Oct 17, 2012 Posts 143 Reaction score 57 Oct 17, 2012 #5 usajili wa nini?