Vichekesho
Member
- Jun 20, 2024
- 66
- 3,277
Kwa hiyo kila akishika simu awekwe bize kwa kutumwatumwa hadi achoke kuingia JF?Hii asiione Lamomy
Kwahyo ungeitwa baba naniKwa ubora wa mkuyenge wangu na madini unayotema, mimba ni lazima.
Baba Futuhi bin Vichekesho.Kwahyo ungeitwa baba nani
😂Baba Futuhi bin Vichekesho.
Oohooo! Naishia hapa
Attention ilikuwa kubwa snaa ila ulivamliza hyo habr sasa😴Kuna wanawake makatili sana duniani, mwenzenu naandika uzi huu kwa uchungu sana, leo ilikuwa tarehe ambayo mwanangu angetimiza umri wa mwaka mmoja.
Iko hivi, nilimtumia demu nauli ya kuja geto na akala nauli. Laiti kama angekuja ningemtia mimba sikuileile na leo mtoto angetimiza mwaka 1.
Lakini,alivyobugia nauli alikusaidia.Si ajabu saa hizi mngekua kwa mwenyekiti wa mtaa mnadaiana malezi ya mtoto wenu aliyetarajiwa.
Mwanasheria wangu atakuja kulitolea ufafanuzi jambo hiliKwakuwa hakuja inamaana lile yai halikupevushwa na likatoka kwenye siku zake bado hajaua hapo?
Hajafa huyoAsante, rambirambi tumeni pm
Wwe kweli ni Vichekesho!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna wanawake makatili sana duniani, mwenzenu naandika uzi huu kwa uchungu sana, leo ilikuwa tarehe ambayo mwanangu angetimiza umri wa mwaka mmoja.
Kabla ya kuendelea mbele naomba niwajulishe kuwa rambirambi zote napokea PM.
Iko hivi, nilimtumia demu nauli ya kuja geto na akala nauli. Laiti kama angekuja ningemtia mimba sikuileile na leo mtoto angetimiza mwaka 1.