sinajinasasa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 2,988
- 4,152
Waafrika tumebaki kama wajinga fulani..Kwanza napenda kujua nani anayewafadhili kwenye miradi ya kubadilisha mbegu za asili na kutuletea hizo mbegu za kisasa ambazo wakulima wanaolima kibiashara wanazipenda. Sisi walaji wa karanga tunataka mbegu nzuri za asili zenye lishe iliyokamilika sio hizo Hybrid na GMO.
Naomba TARI mje hapa kufanya clearence ya tuhuma hizi.
Nahisi mnafadhiliwa na Monsanto au Sygenta
Ni wajinga kweli ila tunataka majibu, wewe usiye na akili ni mawili;Waafrika tumebaki kama wajinga fulani..
Wewe unajua asili ya karanga?Kwanza napenda kujua nani anayewafadhili kwenye miradi ya kubadilisha mbegu za asili na kutuletea hizo mbegu za kisasa ambazo wakulima wanaolima kibiashara wanazipenda. Sisi walaji wa karanga tunataka mbegu nzuri za asili zenye lishe iliyokamilika sio hizo Hybrid na GMO.
Naomba TARI mje hapa kufanya clearence ya tuhuma hizi.
Nahisi mnafadhiliwa na Monsanto au Syngenta