Pre GE2025 Tarime: CCM yapewa angalizo kupoteza Jimbo la Tarime DC 2025 ikimsimamisha Waitara

Pre GE2025 Tarime: CCM yapewa angalizo kupoteza Jimbo la Tarime DC 2025 ikimsimamisha Waitara

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

bagamoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
24,941
Reaction score
28,869



Kada ya CCM Tarime mkoa wa Mara Zakayo Wangwe aelezea kwa kina hali ya siasa Tarime na changamoto iliyopo ikiwa mbunge wa CCM Waitara atapitishwa kugombea 2025

Kada Zakayo Wangwe amesema kuwa kuna makundi ya CCM Halisi na CCM wakuja ya Waitara yanayokinzana na kumlaunu mbunge Waitara ndiye muasisi wa mgawanyiko ndani ya CCM katika wilaya ya Tarime, hali inayopelekea tishio CCM chama dola kongwe kuweza kushindwa ubunge Tarime ...

Kada wa CCM ndugu Zakayo Wangwe amekwenda mbali na kuanika tabia ya Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara (CCM) alivyosababisha migogoro ndani ya CHADEMA kabla ya kutimkia CCM ....

Kada huyo wa CCM ndugu Zakayo Wangwe ameongeza kuwa kutokana na mgawanyiko aliouunda Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara (CCM), sasa makada na viongozi wa CCM Tarime wanaishi kwa hofu ya kutoaminiana, watumishi wa CCM kuhamishwa n.k hivyo chama dola kongwe kukosa umoja ndani ya chama cha mapinduzi ....

Kudhihirisha kuwa Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara (CCM) hakubaliki katika jamii ya Tarime, ni pale wananchi walipomzomea na kupiga yowe kitu ambacho kiongozi ktk jamii ya Tarime ni nadra kutokea kwa sababu ya heshima wanayowapa viongozi wao, lakini kwa Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara (CCM) wananchi uzalendo pamoja na mila za Tarime uliwashinda hivyo wakamzomea na kupiga yowe la kumkataa ....

Kada huyo ndugu Zakayo Wangwe ameomba mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Dr. Samia Hassan na katibu mkuu wa CCM balozi Dr. Nchimbi watumie mamlaka zao na mfumo ndani ya chama kongwe dola kukinusuru chama cha CCM Tarime kilichotekwa nyara na kuendeshwa kijeshi chini ya mamluki wa Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara (CCM).

Waitara ametua ushawishi wake kuhakikisha chama kinaburuzwa bila demokrasia hivyo kuwepo mgawanyiko wa kisiasa ktk CCM Tarime .... mpasuko huo ambao wanaCCM wanasema utakinufaisha chama cha CHADEMA pakubwa kushinda chaguzi za serikali za mitaa, udiwani, ubunge Tarime Vijijini ...

Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara (CCM) Nyamongo, Kibumaye, Kemakorere, Nyamwaga, Malera na maeneo mengine hawezi kuitisha mkutano kwa vile hakubaliki kabisa amedai kada huyo wa CCM akiongea katika press conference kuhusi hali halisi ya kisiasa Tarime ambapo CCM imedizi kugawanyika na kukosa ushawishi kutokana na kuburuzwa kijeshi hivyo hakuna mikutano, majadiliano wala kukosoana tangu Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara (CCM) aingie ktk siasa za Tarime ...
 
Wanaccm wa Tarime nitawashangaa sana kama mlevi huyu, Waitara mtamteua tena kuwa mgombea ubunge.
 
HOFU YATANDA TARIME CCM KUSHINDWA IKIWA WAITARA ATAGEMBEA TENA, KADA CCM ZAKAYO WANGWE AFAFANUA


View: https://m.youtube.com/watch?v=DO7YyfLcPU0

Kada ya CCM Tarime mkoa wa Mara Zakayo Wangwe aelezea kwa kina hali ya siasa Tarime na changamoto iliyopo ikiwa mbunge wa CCM Waitara atapitishwa kugombea 2025

Kada Zakayo Wangwe amesema kuwa kuna makundi ya CCM Halisi na CCM wakuja ya Waitara yanayokinzana na kumlaunu mbunge Waitara ndiye muasisi wa mgawanyiko ndani ya CCM katika wilaya ya Tarime, hali inayopelekea tishio CCM chama dola kongwe kuweza kushindwa ubunge Tarime ...

Kada wa CCM ndugu Zakayo Wangwe amekwenda mbali na kuanika tabia ya Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara (CCM) alivyosababisha migogoro ndani ya CHADEMA kabla ya kutimkia CCM ....

Kada huyo wa CCM ndugu Zakayo Wangwe ameongeza kuwa kutokana na mgawanyiko aliouunda Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara (CCM), sasa makada na viongozi wa CCM Tarime wanaishi kwa hofu ya kutoaminiana, watumishi wa CCM kuhamishwa n.k hivyo chama dola kongwe kukosa umoja ndani ya chama cha mapinduzi ....

Kudhihirisha kuwa Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara (CCM) hakubaliki katika jamii ya Tarime, ni pale wananchi walipomzomea na kupiga yowe kitu ambacho kiongozi ktk jamii ya Tarime ni nadra kutokea kwa sababu ya heshima wanayowapa viongozi wao, lakini kwa Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara (CCM) wananchi uzalendo pamoja na mila za Tarime uliwashinda hivyo wakamzomea na kupiga yowe la kumkataa ....

Kada huyo ndugu Zakayo Wangwe ameomba mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Dr. Samia Hassan na katibu mkuu wa CCM balozi Dr. Nchimbi watumie mamlaka zao na mfumo ndani ya chama kongwe dola kukinusuru chama cha CCM Tarime kilichotekwa nyara na kuendeshwa kijeshi bila demokrasia hivyo kuwepo mgawanyiko wa kisiasa ktk CCM Tarime .... mpasuko huo ambao wanaCCM wanasema utakinufaisha chama cha CHADEMA pakubwa kushinda chaguzi za serikali za mitaa, udiwani, ubunge Tarime Vijijini ...

Huyu kada yupo vizuri sana atafika mbali sana
 
Hii tabia ya waitara jimboni kwake ni kama ya Kalemani huko Chato
 
04 July 2024

MWITA WAITARA - CHANGAMOTO ZIPO


View: https://m.youtube.com/watch?v=SJieCpDztX8

Akiri kuwa Kugongana vikombe ndani ya kabati kupo asema mbunge wa CCM jimbo la Tarime Vijiji Mh. Mwita Waitara ... ila mambo makubwa amefanya ndani ya miaka mitatu ya utawala wa Rais Samia Hassan, mfano Tarime Vijijini sasa tuna miradi mikubwa kadhaa inayogusa maisha ya watu kama vile ....
 

Kada ya CCM Tarime mkoa wa Mara Zakayo Wangwe aelezea kwa kina hali ya siasa Tarime na changamoto iliyopo ikiwa mbunge wa CCM Waitara atapitishwa kugombea 2025

Kada Zakayo Wangwe amesema kuwa kuna makundi ya CCM Halisi na CCM wakuja ya Waitara yanayokinzana na kumlaunu mbunge Waitara ndiye muasisi wa mgawanyiko ndani ya CCM katika wilaya ya Tarime, hali inayopelekea tishio CCM chama dola kongwe kuweza kushindwa ubunge Tarime ...

Kada wa CCM ndugu Zakayo Wangwe amekwenda mbali na kuanika tabia ya Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara (CCM) alivyosababisha migogoro ndani ya CHADEMA kabla ya kutimkia CCM ....

Kada huyo wa CCM ndugu Zakayo Wangwe ameongeza kuwa kutokana na mgawanyiko aliouunda Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara (CCM), sasa makada na viongozi wa CCM Tarime wanaishi kwa hofu ya kutoaminiana, watumishi wa CCM kuhamishwa n.k hivyo chama dola kongwe kukosa umoja ndani ya chama cha mapinduzi ....

Kudhihirisha kuwa Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara (CCM) hakubaliki katika jamii ya Tarime, ni pale wananchi walipomzomea na kupiga yowe kitu ambacho kiongozi ktk jamii ya Tarime ni nadra kutokea kwa sababu ya heshima wanayowapa viongozi wao, lakini kwa Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara (CCM) wananchi uzalendo pamoja na mila za Tarime uliwashinda hivyo wakamzomea na kupiga yowe la kumkataa ....

Kada huyo ndugu Zakayo Wangwe ameomba mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Dr. Samia Hassan na katibu mkuu wa CCM balozi Dr. Nchimbi watumie mamlaka zao na mfumo ndani ya chama kongwe dola kukinusuru chama cha CCM Tarime kilichotekwa nyara na kuendeshwa kijeshi chini ya mamluki wa Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara (CCM).

Waitara ametua ushawishi wake kuhakikisha chama kinaburuzwa bila demokrasia hivyo kuwepo mgawanyiko wa kisiasa ktk CCM Tarime .... mpasuko huo ambao wanaCCM wanasema utakinufaisha chama cha CHADEMA pakubwa kushinda chaguzi za serikali za mitaa, udiwani, ubunge Tarime Vijijini ...

Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara (CCM) Nyamongo, Kibumaye, Kemakorere, Nyamwaga, Malera na maeneo mengine hawezi kuitisha mkutano kwa vile hakubaliki kabisa amedai kada huyo wa CCM akiongea katika press conference kuhusi hali halisi ya kisiasa Tarime ambapo CCM imedizi kugawanyika na kukosa ushawishi kutokana na kuburuzwa kijeshi hivyo hakuna mikutano, majadiliano wala kukosoana tangu Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara (CCM) aingie ktk siasa za Tarime ...
Siku si nyingi mtaelewa kuwa siyo Tarime tu bali ni nchi nzima!!

Ngoja tu kitengenezwe kitu tofauti na CHADEMA ya Mbowe
 
17 Julai 2024

"HUYU WAITARA ATALIA SANA , CHADEMA TUMEJIPANGA" VIONGOZI CHADEMA WAMVAA VIKALI WAITARA & NAPE


View: https://m.youtube.com/watch?v=jFKcqD3i8eA
Katibu wa CHADEMA jimbo la Tarime vijijini kamanda Mrimi Zabron akiongea leo kutoa mrejesho wa hali ya kisiasa Tarime ... kata Mbongi, kata ya Sirari n.k CHADEMA wafanya mikutano mikubwa ...

Viongozi wa jimbo la Tarime vijijini akiwemo mwenyekiti wa CHADEMA kamanda Mwita Isasi, kamanda Tanzania Mutima ... kamanda Tontora Marwa .... kamanda John Francis, kamanda Stephen Nyahiri , kamanda Wambura pamoja na viongozi wanafanya kazi jimboni na wanaCHADEMA ...

CHADEMA na wananchi wa Tarime wamejiridhisha kuwa mbunge wa CCM jimbo la Tarime Vijiji Mh. Mwita Waitara hataweza tena kupata kuendelea na ubunge katika jimbo .....
Source : Mara digital
 
Mwita Waitara - Natamani sana ubunge wa Tarime Vijijini nipambanishwe na John Heche 2025


View: https://m.youtube.com/watch?v=kvtb40Z8ypA

Mwita Waitara adai ameshoshwa na maneno kuwa hakubaliki CCM, ila atamba ni yeye tu ndiyo anaweza kupambana na John Heche wa CHADEMA .... kwa kuwa 2020 walijitokeza wanaCCM 30 kutaka kuteuliwa kuwa wagombea nafasi ya ubunge Tarime vijijini lakini yeye Mwita Waitara akapitishwa kugombea kwa tiketi ya CCM ... hiyo inaonesha kuwa CCM inaimani naye 2025 . .
 
27 November 2024
Tarime, Tanzania

ZAKAYO CHACHA WANGWE ASIMULIA KIPIGO ALICHOPATA KUTOKA KWA NGICHO


View: https://m.youtube.com/watch?v=PtfEJu7dMYQ
Kada wa CCM ndugu Zakayo Wangwe ashambuliwa na kupigwa kufuatia mwenyekiti wa CCM wilaya ndugu Ngicho kuamuru vijana kumshambulia kada Zakayo Wangwe .... kwa silaha za mabapa ya mapanga mwilini na marungu .....PF3 wakapewa ili kupata matibabu ... na kutokana na maumivu ... mikono ya Wangwe ina maumivu ya .... uwezekano referral X-Ray kwenda hospitali kubwa ya rufaa


Mwenyekiti wa wilaya CCM wilaya ya Tarime ndugu Ngicho anasema jana kulikuwa na watu wasiojulikana wakitembeza mapanga kwa watu,......

Hivyo yeye kama mwenyekiti alitoka na walinzi wake kuona hali hiyo ya mtaani katika viunga kadhaa vya Tarime ambapo vurugu za watu wa CCM kupigwa mapanga yalipokuwa yanaendelea usiku ...
 
28 November 2024
Tarime, Tanzania

MWITA WAITARA MBUNGE WA TARIME VIJIJINI AZUMGUMZIA UCHAGUZI WA 27 NOVEMBER 2024


View: https://m.youtube.com/watch?v=-j2k1a1O8CU

Mwita Waitara mbunge wa Tarime vijijini mambo ni mazuri kimatokeo TAMISEMI 2024 katika jimbo la Tarime vijijini na hali ya kisiasa katika vitongoji, kata, vijiji ambapo chama cha mapinduzi CCM kimeshinda kwa kishindo ...

Mwita Waitara mbunge wa Tarime vijijini anasema ushindi wa asilimia zaidi ya 94 uchaguzi TAMISEMI jimbo la Tarime vijijini linatoa mwelekeo kuwa uchaguzi mkuu wa 2025 mambo yakakuwa mazuri pia .. kwa takwimu za ushindi huu wa mitaa, vijiji, vitongoji TAMISEMI 2024 ... CCM itashinda uchaguzi wa 2025 kwa kishindo kikubwa zaidi ..
 
Hata hivyo nadhani àlichukua jimbo hilo kwa nguvu ya hayati JPM baada ya kuvuruga uchaguzi nchi nzima!
 

Kada ya CCM Tarime mkoa wa Mara Zakayo Wangwe aelezea kwa kina hali ya siasa Tarime na changamoto iliyopo ikiwa mbunge wa CCM Waitara atapitishwa kugombea 2025

Kada Zakayo Wangwe amesema kuwa kuna makundi ya CCM Halisi na CCM wakuja ya Waitara yanayokinzana na kumlaunu mbunge Waitara ndiye muasisi wa mgawanyiko ndani ya CCM katika wilaya ya Tarime, hali inayopelekea tishio CCM chama dola kongwe kuweza kushindwa ubunge Tarime ...

Kada wa CCM ndugu Zakayo Wangwe amekwenda mbali na kuanika tabia ya Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara (CCM) alivyosababisha migogoro ndani ya CHADEMA kabla ya kutimkia CCM ....

Kada huyo wa CCM ndugu Zakayo Wangwe ameongeza kuwa kutokana na mgawanyiko aliouunda Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara (CCM), sasa makada na viongozi wa CCM Tarime wanaishi kwa hofu ya kutoaminiana, watumishi wa CCM kuhamishwa n.k hivyo chama dola kongwe kukosa umoja ndani ya chama cha mapinduzi ....

Kudhihirisha kuwa Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara (CCM) hakubaliki katika jamii ya Tarime, ni pale wananchi walipomzomea na kupiga yowe kitu ambacho kiongozi ktk jamii ya Tarime ni nadra kutokea kwa sababu ya heshima wanayowapa viongozi wao, lakini kwa Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara (CCM) wananchi uzalendo pamoja na mila za Tarime uliwashinda hivyo wakamzomea na kupiga yowe la kumkataa ....

Kada huyo ndugu Zakayo Wangwe ameomba mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Dr. Samia Hassan na katibu mkuu wa CCM balozi Dr. Nchimbi watumie mamlaka zao na mfumo ndani ya chama kongwe dola kukinusuru chama cha CCM Tarime kilichotekwa nyara na kuendeshwa kijeshi chini ya mamluki wa Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara (CCM).

Waitara ametua ushawishi wake kuhakikisha chama kinaburuzwa bila demokrasia hivyo kuwepo mgawanyiko wa kisiasa ktk CCM Tarime .... mpasuko huo ambao wanaCCM wanasema utakinufaisha chama cha CHADEMA pakubwa kushinda chaguzi za serikali za mitaa, udiwani, ubunge Tarime Vijijini ...

Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara (CCM) Nyamongo, Kibumaye, Kemakorere, Nyamwaga, Malera na maeneo mengine hawezi kuitisha mkutano kwa vile hakubaliki kabisa amedai kada huyo wa CCM akiongea katika press conference kuhusi hali halisi ya kisiasa Tarime ambapo CCM imedizi kugawanyika na kukosa ushawishi kutokana na kuburuzwa kijeshi hivyo hakuna mikutano, majadiliano wala kukosoana tangu Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara (CCM) aingie ktk siasa za Tarime ...
Nyie wajinga siku mkitambua kwamba hata akishuka Yesu akagombea kwa tiketi ya CCM hakuna atakacho badili mtakuwa mmecheleaa sana. Waitara akiwa CDM mbona alimuwa moto? Yule Kimei kule Vunjo wana Vunjo si waliamini ndio wanaenda kumaliza matatizo yote lakini wapi. Shida sio mtu, Hata Mbowe akaenda CCM akagombea na kushinda atabadilika sana mtashangaa.
 
Back
Top Bottom