Pre GE2025 Tarime: Chanzo cha Mbunge Waitara kufurushwa Sirari

Pre GE2025 Tarime: Chanzo cha Mbunge Waitara kufurushwa Sirari

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

neno ni upanga

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2022
Posts
494
Reaction score
1,656
Habari wakuu!

Wiki iliyopita kulikuwa na Waitara Cup ambayo mdhamini wake ni Mwita Waitara. Mshindi wa kwanza alipewa milioni 5 na wa pili nasikia kama milioni 2. Sasa, siku ya fainali mshindi alikuwa ni Sirari au kata ya Sirari. Siku hiyo wakati wanarudi kwao, gari waliyokuwa wamepanda mshindi wa kwanza na mshindi wa pili pamoja na mashabiki wao, yalipata ajali kwa nyakati tofauti.

Cha ajabu, wabeba fedha wote kwenye hayo magari mawili walifariki papo hapo na mbaya zaidi fedha hazikuonekana baada ya hizo ajali mbili na maeneo ni tofauti kabisa. Cha ajabu, sijasikia taarifa ikitangazwa maana majeruhi ni wengi waliojeruhiwa kwenye ajali hii!

Kutokana na hasira hizo, wananchi wamehisi Waitara amefanya kafara, ndo maana amefurushwa huko Sirari. Ikumbukwe Sirari ni ngome ya upinzani ya John Heche.



Source: Nyamwaga Online

=====

Pia Soma:

- Kuelekea 2025 - Tarime: Mbunge Mwita Waitara atimuliwa na Wananchi, ashushwa Jukwaani kwa Fimbo
 
Sababu kama hiyo utaikuta tz peke yake
Waitara hakuendesha hiyo gari wao wenyewe na furaha zao wakapata ajali basi wqsitafute pa kupumzika
 
Sababu kama hiyo utaikuta tz peke yake
Waitara hakuendesha hiyo gari wao wenyewe na furaha zao wakapata ajali basi wqsitafute pa kupumzika
Kumbuka sio gari moja mkuu! Ni magari mawili! Mfano mechi imechezewa stedi ya magufuli mshindi wa kwanza na gari lao wanaenda kiluvia alafu mshindi wa pili anaenda ubungo lakini kwa nyakati tofauti magari yote yapate ajali, alafu washika fedha wote wafe papo kwa papo magari yote mawili, alafu fedha nazo zipotee zizionekane kwenye hayo magari mawili baada tu ya hiyo ajali!! Wewe utasemaje??
 
Habari wakuu!

Wiki iliyopita kulikuwa na Waitara Cup ambayo mdhamini wake ni Mwita Waitara. Mshindi wa kwanza alipewa milioni 5 na wa pili nasikia kama milioni 2. Sasa, siku ya fainali mshindi alikuwa ni Sirari au kata ya Sirari. Siku hiyo wakati wanarudi kwao, gari waliyokuwa wamepanda mshindi wa kwanza na mshindi wa pili pamoja na mashabiki wao, yalipata ajali kwa nyakati tofauti.

Cha ajabu, wabeba fedha wote kwenye hayo magari mawili walifariki papo hapo na mbaya zaidi fedha hazikuonekana baada ya hizo ajali mbili na maeneo ni tofauti kabisa. Cha ajabu, sijasikia taarifa ikitangazwa maana majeruhi ni wengi waliojeruhiwa kwenye ajali hii!

Kutokana na hasira hizo, wananchi wamehisi Waitara amefanya kafara, ndo maana amefurushwa huko Sirari. Ikumbukwe Sirari ni ngome ya upinzani ya John Heche.

Source ya taarifa: Nyamwaga Online.

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Tarime: Mbunge Mwita Waitara atimuliwa na Wananchi, ashushwa Jukwaani kwa Ffmbo
RIP

⚖️Justice for Asimwe#
 
Kumbuka sio gari moja mkuu! Ni magari mawili! Mfano mechi imechezewa stedi ya magufuli mshindi wa kwanza na gari lao wanaenda kiluvia alafu mshindi wa pili anaenda ubungo lakini kwa nyakati tofauti magari yote yapate ajali, alafu washika fedha wote wafe papo kwa papo magari yote mawili, alafu fedha nazo zipotee zizionekane kwenye hayo magari mawili baada tu ya hiyo ajali!! Wewe utasemaje??
⚖️Justice for Asimwe#
 
Hawa watu kuelekea uchaguzi mkuu 25 watatoa kafara sana
 
Back
Top Bottom