Elections 2010 Tarime: Makada wa CCM wanahaha kujipenyeza kwa wasimamizi

Elections 2010 Tarime: Makada wa CCM wanahaha kujipenyeza kwa wasimamizi

Zak Malang

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2008
Posts
5,404
Reaction score
239
Nimepata habari mida hii kutoka Tarime kutoka kwa jamaa yangu mmoja kwamba huenda kukatokea vurugu pale kushinda zile za mwaka juzi wakati wa uchaguzi mdogo. Anasema makada wa CCM wanataka kujipenyeza kwa wasimamizi wa vituo lakini vijana wamekaa imara.

Anasema kama kutatokea vurugu na ghasia nchini, basi ni CCM tu ambao daima huwa hawataki kushindwa.


HII TAARIFA INATIA MOYO SANA!!
 
Duh kweli madaraka matamu maana jamaa baado wanapambana tu ili tusiwang'oe..
 
Kuna sehemu zingine wakiamua kuiba, wameamua kuleta vita...
 
Tanzania yote tunatakiwa kulinda kura kama Tarime. Mwaka huu sisiem itawatambua wananchi
 
aiseee,naomba tu kazi hii iishe kwa amani kabisaaa na hii inawezekana kama haki itafuatwa
 
Back
Top Bottom