Unajifariji mkuu, CCM pamoja na kumwaga mijihela na kila aina ya uhuni lakini wanajua kwamba hawakubaliki na kibaya zaidi mgombea wao hana mvuto wala ushawishi kwa wanatarime.
Mgombea wa ccm ana laana ya baba yake, nani atathubutu kumchagua mtu aliyelaaniwa na baba yake mzazi?