Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
Wenyeviti 15 wa vijiji na vitongoji kutoka Kata ya Kwihancha, Goronga na Nyanungu Tarime mkoani Mara, wamejiuzulu baada ya serikali kutoa msimamo wake juu ya wananchi kupisha maeneo ya hifadhi ya Serengeti kwa kuweka mipaka ambayo inatenganisha vijiji na hifadhi hiyo.
Hatua hiyo ya wenyeviti hao kujivua inakuja baada ya hivi karibuni Mawaziri wa kisekta waliotembelea eneo lenye mgogoro baina ya wananchi na hifadhi ya Taifa nakutoa msimamo wa serikali ndipo wenyeviti hao wakaamua kujivua uongozi.
#EastAfricaRadio
Hatua hiyo ya wenyeviti hao kujivua inakuja baada ya hivi karibuni Mawaziri wa kisekta waliotembelea eneo lenye mgogoro baina ya wananchi na hifadhi ya Taifa nakutoa msimamo wa serikali ndipo wenyeviti hao wakaamua kujivua uongozi.
#EastAfricaRadio