Tarime: Wenyeviti wa vijiji 15 wajiuzuru!

Tarime: Wenyeviti wa vijiji 15 wajiuzuru!

Boss la DP World

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
2,318
Reaction score
8,464
Wenyeviti 15 wa vijiji na vitongoji kutoka Kata ya Kwihancha, Goronga na Nyanungu Tarime mkoani Mara, wamejiuzulu baada ya serikali kutoa msimamo wake juu ya wananchi kupisha maeneo ya hifadhi ya Serengeti kwa kuweka mipaka ambayo inatenganisha vijiji na hifadhi hiyo.

Hatua hiyo ya wenyeviti hao kujivua inakuja baada ya hivi karibuni Mawaziri wa kisekta waliotembelea eneo lenye mgogoro baina ya wananchi na hifadhi ya Taifa nakutoa msimamo wa serikali ndipo wenyeviti hao wakaamua kujivua uongozi.

#EastAfricaRadio
 
Wenyeviti 15 wa vijiji na vitongoji kutoka Kata ya Kwihancha, Goronga na Nyanungu Tarime mkoani Mara, wamejiuzulu baada ya serikali kutoa msimamo wake juu ya wananchi kupisha maeneo ya hifadhi ya Serengeti kwa kuweka mipaka ambayo inatenganisha vijiji na hifadhi hiyo.

Hatua hiyo ya wenyeviti hao kujivua inakuja baada ya hivi karibuni Mawaziri wa kisekta waliotembelea eneo lenye mgogoro baina ya wananchi na hifadhi ya Taifa nakutoa msimamo wa serikali ndipo wenyeviti hao wakaamua kujivua uongozi.

#EastAfricaRadio
Wamesusaa! Uki susaa wenzako wala!!
 
Wenyeviti 15 wa vijiji na vitongoji kutoka Kata ya Kwihancha, Goronga na Nyanungu Tarime mkoani Mara, wamejiuzulu baada ya serikali kutoa msimamo wake juu ya wananchi kupisha maeneo ya hifadhi ya Serengeti kwa kuweka mipaka ambayo inatenganisha vijiji na hifadhi hiyo.

Hatua hiyo ya wenyeviti hao kujivua inakuja baada ya hivi karibuni Mawaziri wa kisekta waliotembelea eneo lenye mgogoro baina ya wananchi na hifadhi ya Taifa nakutoa msimamo wa serikali ndipo wenyeviti hao wakaamua kujivua uongozi.

#EastAfricaRadio
Chezea serikali ya chama dola
 
Kipi ni bora Binadamu au Wanyama Pori?. Ardhi haiongezeki lakini binadamu wanaongezeka. Hata kidogo thamani ya binadamu huwezi ukalinganisha na thamani ya wanyamapori. Uamuzi huu unatakiwa urejelewe.
 
Tarime, Tanzania

Wenyeviti 15 wa Vijiji na Vitongoji Tarime wajiuzulu sakata la bikoni za hifadhi ya Serengeti

 
Kipi ni bora Binadamu au Wanyama Pori?. Ardhi haiongezeki lakini binadamu wanaongezeka. Hata kidogo thamani ya binadamu huwezi ukalinganisha na thamani ya wanyamapori. Uamuzi huu unatakiwa urejelewe.

Mkuu kwa hiyo wanyama pori hawaongezeki?
 
Kipi ni bora Binadamu au Wanyama Pori?. Ardhi haiongezeki lakini binadamu wanaongezeka. Hata kidogo thamani ya binadamu huwezi ukalinganisha na thamani ya wanyamapori. Uamuzi huu unatakiwa urejelewe.
Wanyamapori. Kwa sababu wanyama pori hawawezi kwenda kuishi popote ndani ya nchi zaidi ya kwenye mbuga ila binadamu anaweza hata akahama kwenda sehemu nyingine. Njooni morogoro huku mapori yapo ya kutosha
 
Wenyeviti 15 wa vijiji na vitongoji kutoka Kata ya Kwihancha, Goronga na Nyanungu Tarime mkoani Mara, wamejiuzulu baada ya serikali kutoa msimamo wake juu ya wananchi kupisha maeneo ya hifadhi ya Serengeti kwa kuweka mipaka ambayo inatenganisha vijiji na hifadhi hiyo.

Hatua hiyo ya wenyeviti hao kujivua inakuja baada ya hivi karibuni Mawaziri wa kisekta waliotembelea eneo lenye mgogoro baina ya wananchi na hifadhi ya Taifa nakutoa msimamo wa serikali ndipo wenyeviti hao wakaamua kujivua uongozi.

#EastAfricaRadio
Mkuu hiki kinachoendelea ni mwendelezo wa kilichoanza, soma hapa Anguko la CCM
 
Wenyeviti 15 wa vijiji na vitongoji kutoka Kata ya Kwihancha, Goronga na Nyanungu Tarime mkoani Mara, wamejiuzulu baada ya serikali kutoa msimamo wake juu ya wananchi kupisha maeneo ya hifadhi ya Serengeti kwa kuweka mipaka ambayo inatenganisha vijiji na hifadhi hiyo.

Hatua hiyo ya wenyeviti hao kujivua inakuja baada ya hivi karibuni Mawaziri wa kisekta waliotembelea eneo lenye mgogoro baina ya wananchi na hifadhi ya Taifa nakutoa msimamo wa serikali ndipo wenyeviti hao wakaamua kujivua uongozi.

#EastAfricaRadio
Mbunge wao naye leo kavua koti na tai bungeni ili kulinda heshima yake
 
Back
Top Bottom