Bilioni 14 ni kujenga Barabara zipi na ziko wapi dar ? Je ni kilometers ngapi? Vinginevyo fedha hizo ni za kununua magari ya starehe. Nani anakagua miradi ya Tarura?Kazi imeiva ktk mkoa wa DSM baada ya TATURA kuingia mkataba na wakandarasi wazawa kujenga barabara ktk maeneo mbalimbali ya Mkoa wa DSM.
Billioni 14 tayari zimemwagwa.
sasa tunataka kazi zionekane, wakandarasi wazawa pigeni kazi muache visingizio, kazi mmepewa hela mmepewa sasa ole wenu mule hela za walipa kodi halafu kazi zisikamilike.
Pongezi kwa Rais Samia kwa kudhamiria.
kila halmashauri itakuwa imeaanisha barabara zake zitakazo jengwa.Bilioni 14 ni kujenga Barabara zipi na ziko wapi dar ? Je ni kilometers ngapi? Vinginevyo fedha hizo ni za kununua magari ya starehe. Nani anakagua miradi ya Tarura?
Labda kusafisha zipitike na vidaraja makalavati lam badosasa ni mwendo wa lami mitaani.
Jiji la DSM litang'aaa sana.
Pongezi za dhati kwa Rais wetu kipenzi Samia kwa kuamua kutekeleza.
haya ndio maendeleo tunayo yataka.
Unakurupuka kama mkojo wa mtoto ππππ ,kagua wewe itatoshaBilioni 14 ni kujenga Barabara zipi na ziko wapi dar ? Je ni kilometers ngapi? Vinginevyo fedha hizo ni za kununua magari ya starehe. Nani anakagua miradi ya Tarura?
#freeman mbowe# je tuendelee kuishi nayo au
Nadhani sehemu kubwa itakuwa kuzijenga kwa vumbi,hizo fedha ni chache Sana hususani Dar.Bilioni 14 kwa lami sahihi ni inatosha kilometa 14 tu sasa jiji zima la dar kivipi?
"Mtanikumbuka"Unakurupuka kama mkojo wa mtoto ππππ ,kagua wewe itatosha
Aache kumkumbuka Aliyekuwa analala nae nije kumkumbuka mimi? Si ntakuwa mwehu sasa"Mtanikumbuka"
Bilioni 14 Kujenga Barabara za vumbi " mvua zikinyesha utaambia wapiga kura Barabara ziliekekea wapi" anyway miradi haikaguliwiNadhani sehemu kubwa itakuwa kuzijenga kwa vumbi,hizo fedha ni chache Sana hususani Dar.
Ila kwa mujibu wa Tarura hiyo ni awamu ya kwanza kutakuwa na awamu 3 na awamu zijazo ndio hasa pesa ya tozo.
Nchi nzima Tarura wanatangaza Kazi zingine mwezi huu wa 8 kwa pesa za mafuta .
Ndiye aliyekuanzishia Tarura Sasa unaishi Kwa Kula chip mayai na kuwahi kwenye ATM tar 24 Kila mweziAache kumkumbuka Aliyekuwa analala nae nije kumkumbuka mimi? Si ntakuwa mwehu sasa
Kwani walioanzisha taasisi wanakumbukwa? Ukukumbwe kwa wajibu wako Ili iwajeNdiye aliyekuanzishia Tarura Sasa unaishi Kwa Kula chip mayai na kuwahi kwenye ATM tar 24 Kila mwezi
Uwaambie kwani hizo mvua zinakuwa zilinyesha chumbn hazikuonekana au? Bil.14 ni km 15 tuu za lami sasa kila mkoa una utaratibu wao wa vipaombele walivyokubaliana na madiwani wewe kama shida yako ni kukagua kakagueBilioni 14 Kujenga Barabara za vumbi " mvua zikinyesha utaambia wapiga kura Barabara ziliekekea wapi" anyway miradi haikaguliwi