TARURA watu wenu wa ushuru wa parking wameacha kutoa risiti

TARURA watu wenu wa ushuru wa parking wameacha kutoa risiti

St. Paka Mweusi

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2010
Posts
7,956
Reaction score
5,149
Unaweza kushangaa kwa nini nimepost hapa kwenye jukwaa la siasa.. Lakini huu ni uhujumu uchumi.. Juzi nikiwa Mwenge sokoni mtu wa parking alinielekeza vizuri sehemu ya kupaki gari.

Nikapaki nikafanya ghughuli iliyonipeleka ndani ya dakika ishirini nikawa nimemaliza naondoka.

Jamaa akaja na mashine yake ya kutolea risiti nikampa 500/= akapokea akataka kuondoka, nikamuuliza risiti ipo wapi..?

Nikamwambia naenda sehemu nyingine na ndani ya saa moja ntakuwa nimemaliza shughuli zangu sitaki kudaiwa tena.. Yule jamaa akaniambia mtandao wa Tarula unachukua muda mrefu kutoa risiti.

Nikamwambia ntasubiri. Jamaa akaona isiwe tabu akanirudishia 500/= yangu nikaondoka mpaka Kawe ukwamani.. Kufika Kawe nikamkuta mama mmoja na mashine yake ya kutolea risiti pale Kawe Ukwamani mbele ya duka la nafaka.. Nikapaki vizuri.

Muda mfupi naondoka yule mama anakuja kudai 500/= na risiti hajaweka. Nikamuuliza risiti ipo wapi na yeye akaniuliza kaka na sisi tukale wapi? Nikamjibu bila risiti sikupi hela.

Ndio akatoa risiti akaweka kwenye wipers za gari nikaondoka.. Swali nililojiuliza ni wangapi wenye mchezo huu, na wanawakosesha mapato TARURA kiasi gani kwa siku?

Wenzangu wana JF vipi kwenu, mshakutana na hawa watu wa parking wasio waaminifu..??
 
Acha wajiongeze bhana, kwa taarifa nilizonazo niliambiwa hao wana maboss wao ambao kwa siku inatakiwa apeleke 20k kwa boss yani hii 20k ni nje na target aliyopewa yupo radhi target isitimie ila boss apate 20k manake akizingua hana kazi na unakuta bossi 1 ana watu hata 20 anawasimamia sasa piga hesabu,

20,000 x 20 = 400,000/= kwa siku
400,000 x 6= 2,400,000/= week nmetoa jumapili
2,400,000 X 4 = 9,600,000/= mwezi

Sasa kama bossi kwa mwezi ana unakika wa hzo pesa na amekaa tu kwenye kiti ila kuna watu mtaani wanapigwa na jua kali wanamuingizia hela. Hizo taarifa alinipa dada wa tarura,

Mkimbiwa mfanye kazi halmashauri hamtaki ila ndo kuna pesa balaaa.
 
Unaweza kushangaa kwa nini nimepost hapa kwenye jukwaa la siasa.. Lakini huu ni uhujumu uchumi.. Juzi nikiwa Mwenge sokoni mtu wa parking alinielekeza vizuri sehemu ya kupaki gari.

Nikapaki nikafanya ghughuli iliyonipeleka ndani ya dakika ishirini nikawa nimemaliza naondoka.

Jamaa akaja na mashine yake ya kutolea risiti nikampa 500/= akapokea akataka kuondoka, nikamuuliza risiti ipo wapi..?

Nikamwambia naenda sehemu nyingine na ndani ya saa moja ntakuwa nimemaliza shughuli zangu sitaki kudaiwa tena.. Yule jamaa akaniambia mtandao wa Tarula unachukua muda mrefu kutoa risiti.

Nikamwambia ntasubiri. Jamaa akaona isiwe tabu akanirudishia 500/= yangu nikaondoka mpaka Kawe ukwamani.. Kufika Kawe nikamkuta mama mmoja na mashine yake ya kutolea risiti pale Kawe Ukwamani mbele ya duka la nafaka.. Nikapaki vizuri.

Muda mfupi naondoka yule mama anakuja kudai 500/= na risiti hajaweka. Nikamuuliza risiti ipo wapi na yeye akaniuliza kaka na sisi tukale wapi? Nikamjibu bila risiti sikupi hela.

Ndio akatoa risiti akaweka kwenye wipers za gari nikaondoka.. Swali nililojiuliza ni wangapi wenye mchezo huu, na wanawakosesha mapato TARURA kiasi gani kwa siku?

Wenzangu wana JF vipi kwenu, mshakutana na hawa watu wa parking wasio waaminifu..??

Imeshakuwa ni kero
Usimamizi mbovu kuanzia juu hadi chini
Rushw rushwa rushwa imezidi kuingia kwa upya
 
Unaweza kushangaa kwa nini nimepost hapa kwenye jukwaa la siasa.. Lakini huu ni uhujumu uchumi.. Juzi nikiwa Mwenge sokoni mtu wa parking alinielekeza vizuri sehemu ya kupaki gari.

Nikapaki nikafanya ghughuli iliyonipeleka ndani ya dakika ishirini nikawa nimemaliza naondoka.

Jamaa akaja na mashine yake ya kutolea risiti nikampa 500/= akapokea akataka kuondoka, nikamuuliza risiti ipo wapi..?

Nikamwambia naenda sehemu nyingine na ndani ya saa moja ntakuwa nimemaliza shughuli zangu sitaki kudaiwa tena.. Yule jamaa akaniambia mtandao wa Tarula unachukua muda mrefu kutoa risiti.

Nikamwambia ntasubiri. Jamaa akaona isiwe tabu akanirudishia 500/= yangu nikaondoka mpaka Kawe ukwamani.. Kufika Kawe nikamkuta mama mmoja na mashine yake ya kutolea risiti pale Kawe Ukwamani mbele ya duka la nafaka.. Nikapaki vizuri.

Muda mfupi naondoka yule mama anakuja kudai 500/= na risiti hajaweka. Nikamuuliza risiti ipo wapi na yeye akaniuliza kaka na sisi tukale wapi? Nikamjibu bila risiti sikupi hela.

Ndio akatoa risiti akaweka kwenye wipers za gari nikaondoka.. Swali nililojiuliza ni wangapi wenye mchezo huu, na wanawakosesha mapato TARURA kiasi gani kwa siku?

Wenzangu wana JF vipi kwenu, mshakutana na hawa watu wa parking wasio waaminifu..??
Wanatakiwa kukupa risiti yenye control number ulipe kwa mtandao. Wengi wao ni wababaishaji wanasema hakuna network ili uwape mkononi
 
Hiyo mia tano yenyewe ya parking ni wizi mtupu maana hao tarura hawajajenga parking mahali popote, ukiniambia nilipie pesa ya parking pale mlimani city nitakuelewa kuliko janja janja hii ya tarura....
 
Wewe kama una uwezo wa kununua gali na kuliwekea mafuta licha ya kuwa yamepanda bei basi jua kuna watu hawana hata miatano ya mihogo na wanategemewa na familia
Hilo sio jibu sahihi kwa Muungwana.. Hapa tunaongelea mapato ya serikali yanayopotelea mifukoni mwa watendaji we unakuja na hekaya za kununua gari..
 
Hiyo mia tano yenyewe ya parking ni wizi mtupu maana hao tarura hawajajenga parking mahali popote, ukiniambia nilipie pesa ya parking pale mlimani city nitakuelewa kuliko janja janja hii ya tarura....
Hakuna sehemu inayonikera kama pale nje ya benki ya NMB njia panda ya Afrikana.. Pale mahali ni pabovu hakuna mfano.. Lakini ukipaki gari tu tayari keshafika na kolokolo lake kudai hela ya parking.. Kwa parking ipi sasa.. Yaani ni wizi mtupu...
 
Hilo sio jibu sahihi kwa Muungwana.. Hapa tunaongelea mapato ya serikali yanayopotelea mifukoni mwa watendaji we unakuja na hekaya za kununua gari..
Unapiga kelele mpak kufungua uzi kisa mia tano wakati kuna wajanja wanalipana mabilioni ya posho kimagumashi
20210904_124649.jpg

Kwanza hizo kodi zenyewe zinaliwa na wajanja
 
Wewe kama una uwezo wa kununua gali na kuliwekea mafuta licha ya kuwa yamepanda bei basi jua kuna watu hawana hata miatano ya mihogo na wanategemewa na familia
Nikipata hela nahama hii nchi. Kwa hiyo kuna watu wanaruhusiwa kuwa wezi na wengine hawaruhusiwi?
 
Nikipata hela nahama hii nchi. Kwa hiyo kuna watu wanaruhusiwa kuwa wezi na wengine hawaruhusiwi?
Mkurugenzi kaiba mabati huko Dodoma ila bado yupo ofisini sasa huyu wa mia tano unataka apelekwe jela?
Alafu huyu jamaa mwenye gali ana roho mbaya angemsaidia hata buku
 
....kaka na sisi tukale wapi?.... vyuma vimeumana
 
Unaweza kushangaa kwa nini nimepost hapa kwenye jukwaa la siasa.. Lakini huu ni uhujumu uchumi.. Juzi nikiwa Mwenge sokoni mtu wa parking alinielekeza vizuri sehemu ya kupaki gari.

Nikapaki nikafanya ghughuli iliyonipeleka ndani ya dakika ishirini nikawa nimemaliza naondoka.

Jamaa akaja na mashine yake ya kutolea risiti nikampa 500/= akapokea akataka kuondoka, nikamuuliza risiti ipo wapi..?

Nikamwambia naenda sehemu nyingine na ndani ya saa moja ntakuwa nimemaliza shughuli zangu sitaki kudaiwa tena.. Yule jamaa akaniambia mtandao wa Tarula unachukua muda mrefu kutoa risiti.

Nikamwambia ntasubiri. Jamaa akaona isiwe tabu akanirudishia 500/= yangu nikaondoka mpaka Kawe ukwamani.. Kufika Kawe nikamkuta mama mmoja na mashine yake ya kutolea risiti pale Kawe Ukwamani mbele ya duka la nafaka.. Nikapaki vizuri.

Muda mfupi naondoka yule mama anakuja kudai 500/= na risiti hajaweka. Nikamuuliza risiti ipo wapi na yeye akaniuliza kaka na sisi tukale wapi? Nikamjibu bila risiti sikupi hela.

Ndio akatoa risiti akaweka kwenye wipers za gari nikaondoka.. Swali nililojiuliza ni wangapi wenye mchezo huu, na wanawakosesha mapato TARURA kiasi gani kwa siku?

Wenzangu wana JF vipi kwenu, mshakutana na hawa watu wa parking wasio waaminifu..??
Bahati hata wamekuwekea risiti kuna wengine anaandika namba ya gari na kukujazia deni na control namba huna
 
Back
Top Bottom