TARURA watu wenu wa ushuru wa parking wameacha kutoa risiti

Wanatakiwa kukupa risiti yenye control number ulipe kwa mtandao. Wengi wao ni wababaishaji wanasema hakuna network ili uwape mkononi
Kwa utaratibu huu mbovu wa risiti sijui ulipie kwenye simu, bora tu nimpe 500 niachane naye maana unaenda lipia zaidi ya 500 na ukijisahau risiti ikapotea imekula kwako
 
Sijawai kulipa nasitakuja kulipa Mimi uwanawauliza TARURA ninini? Wakijibu nauliza TOZO?
 
Sijawai kulipa nasitakuja kulipa Mimi uwanawauliza TARURA ninini? Wakijibu nauliza TOZO?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] saivi unakuta risiti kwenye kioo ina control namba na deni hakuna mtu anakudai cash
 
Hakuna watu walalamishi kama wenye magari yàni unanunia gari ya milioni 30 ila kulipa garama ndogo kama za tarura na fine za matrafiki unalita mtu mpaka anarusha ngumi barabatani au matusi ya ajabu yanamtoka kwa wafanyakazi waliotumwa
 
Hakuna watu walalamishi kama wenye magari yàni unanunia gari ya milioni 30 ila kulipa garama ndogo kama za tarura na fine za matrafiki unalita mtu mpaka anarusha ngumi barabatani au matusi ya ajabu yanamtoka kwa wafanyakazi waliotumwa
issue siyo kulipa tatizo mfumo wa ulipaji mbona kabla ya utaratibu huu hakukuwa na tatizo na mbaya zaidi unaweza rudi na kukuta gari imeibiwa vioo
 
Hakuna watu walalamishi kama wenye magari yàni unanunia gari ya milioni 30 ila kulipa garama ndogo kama za tarura na fine za matrafiki unalita mtu mpaka anarusha ngumi barabatani au matusi ya ajabu yanamtoka kwa wafanyakazi waliotumwa
Bila shaka umekalia msumari wenye ncha kali. Umekutoboa makalio.
 
Hakuna watu walalamishi kama wenye magari yàni unanunia gari ya milioni 30 ila kulipa garama ndogo kama za tarura na fine za matrafiki unalita mtu mpaka anarusha ngumi barabatani au matusi ya ajabu yanamtoka kwa wafanyakazi waliotumwa
Wajinga sana.

Dereva unamwambia lipia parking/maegesho anakuambia hajaegesha. Unamuuliza gari ulitundika?

Mara toa risiti kwanza ndiyo nitoe hela. Hivi ni utaratibu gani unatoa risiti kabla ya hela?

Mtoa mada naye anasema "Nikamwambia ntasubiri. Jamaa akaona isiwe tabu akanirudishia 500/= yangu nikaondoka ". Sasa hapo kuna kosa gani? Au alitaka uthibitisho gani kwamba mtandao ulikuwa unasumbua?

Jamaa kaona kwa kuwa risiti hazitoki bora arudishe hela.

Siku nyingine mfanye hizi kazi za kukusanya mapato muone moto wake maana tunakuta na majinga sana. Wengine kwa kuwa ni TISS kweli au uongo basi ni mikwara tu.

By the way, hata Biblia imeandika kwamba wakusanya mapato "zakayo" hawapendwi lakini hawa ndiyo wanafanya Serikali inajiendesha ikiwemo kuhudumia wananchi
 
Kuna njia nzuri na rahisi wangeweza buni kama ile ya mlimani city wajenge parking bora mbona Zabodo ameweza?Issue siyo kutolipa ila mfumo wa ulipaji ndiyo tatizo.Mama Kikunge alikuwa anaendesha mradi huu jiji wanapewa asilimia ndogo tu .Waweke parking nzuri na mtu huwezi toa gari mpaka malipo yawe yamekamilika hapo hakuna shida wafanye kama mlimani city au shoppers plazza mikocheni
 
Sasa hivi malipo yote ni kwa mtandao tu,unawekewa receipt yako yenye control number utaenda kulipia mbele ya safari..
Tembelea google play store/ios kupakua App ya malipo TerMIS App.
 
Sabotage zinafanyika kila kona naona uchungu kweli mahospitalini wanaomba rushwa wazi wazi mabarabarani zile faini za mashine zimekuwa hazitolewi tens kama awali ni mwenndo wa kukunjiana 5000 tu,nashauri mapato yaliyokuwa yanapatikana katika makosa ya barabarani hayatakiwi kupungua yakipungua maana yake pans hujuma
 
issue siyo kulipa tatizo mfumo wa ulipaji mbona kabla ya utaratibu huu hakukuwa na tatizo na mbaya zaidi unaweza rudi na kukuta gari imeibiwa vioo
Acha kulalamika kama huwezi kimiliko gari daladala zipo. Itafika wakati hata mafuta utamani ya bure
 
TARURA KUNA BOSI MWNGNE NDUGU! NA USHURU WANAKUSANYA KWA SYSTEM SASA HVI! NAMBA INAKUWA CAPTURED THEN DENI LAKO LINAHIFADHIWA HATA UKIONDOKA SOMETIMES HAUULIZWI KMA MKEKA WA TRAFFIC TUU! ZIKIFKA SKU SABA INA DOUBLE😁
 
unaweza kujua control number yako kwa *152*00# ili kujua control number plus pia gari inadaiwa how much
 
me nilikuta tiketi inasoma 4,500/=nauliza naambiwa ulipaki sehemu jana yake wakati sio sababu gari napaki ofisini siku nzima... kuna mkata tiketi akaniambia mkataji wangu alikosea so akasepa na tiketi yangu inayosoma siku and kesho yake akajifanya kunizuga ionekane sio kosa lake... nilikuja lipa kwa hasira sema nilimlaani aliyefanya hicho kitendo kwani angeniambia ningemuelewa ila sio kuchomekea hivyo
 
Yaani ni wizi tu.. Halafu tunadanganywa nchi inajengwa kumbe mianya ya kuibia serikali ipo mingi sana..
Binafsi nikiangalia hao walioko Serikalini huwa naona bora nimpatie mpigwa na jua mwenzangu hiyo mia tano imsaidie yeye na Familia yake kuliko kuendelea kuchangia Ada ya kusoma Feza mtoto Wa Mwigulu Nchemba..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…