hodi hapa ! njiwamimi nina suali (swali)
hivi ikatokea mke wangu ni TASA ! na MIMI ni mzima JE tufanye nini..?
tuachane! ?? na mimi na penda sana nije pata makinda kama wa nne?
ni swali linaniumiza kichwa miaka nenda rudi..
kuzaa nje ya ndoa! sitothubutu....π
hodi hapa ! njiwamimi nina suali (swali)
hivi ikatokea mke wangu ni TASA ! na MIMI ni mzima JE tufanye nini..?
tuachane! ?? na mimi na penda sana nije pata makinda kama wa nne?
ni swali linaniumiza kichwa miaka nenda rudi..
kuzaa nje ya ndoa! sitothubutu....π
hodi hapa ! njiwamimi nina suali (swali)
hivi ikatokea mke wangu ni TASA ! na MIMI ni mzima JE tufanye nini..?
tuachane! ?? na mimi na penda sana nije pata makinda kama wa nne?
ni swali linaniumiza kichwa miaka nenda rudi..
kuzaa nje ya ndoa! sitothubutu....π
Swali ni kuwa je, kama wewe ni TASA na mkeo ni mzima na anataka ma-kids wawili tu, utafanyaje?
Namwambia wife azae na bro au mdogo wangu awashawishi mi najifanya sijui ili tuendeleze ukoo mle mle...akitoka nje noma na wanakuwa amejifukuzisha mwenyee.