Tasaf na mpango wa kuiwezesha ccm kushinda chaguzi za serikali za mitaa december 2014

swhyjunior

New Member
Joined
Sep 29, 2014
Posts
3
Reaction score
0
hivi wandugu huu mpango wa TASAF kusajili watu maskini ilhali serikali ikijua fika tunaelekea kwenye chaguzi ndogo za serikali za mitaa na huku serikali ya CCM ikijua fika watu maskini hasa hasa wazee na akina mama ndiyo mtaji wao mkubwa kwenye upigaji kura!!!!##nawaza tu wadau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…