Asee wee mzuri !!hivi unajua maana ya p.m??
Mkuu huyu sijui tuseme ni mzito au kibrii!!![emoji86] [emoji86]Mtoto mzuri jibu swali la wa stendi please,unajua maana ya PM???
Huyu mrembo kanifurahisha sana..yaani kavurumusha na ukodak wake ule mkali hapa hapa kibarazani.
Uwongo dhambi asee huyu tasha kasimamia ukucha!!hapo sura tuu je!! Kwingine wee unadhani itakuwajeKuna jamaa alitupia Picha akashambuliwa hapa ila Natasha Toto la kipare lazima atapokelewa kwa bashasha..
Hivi tasha una undugu na mshana j.r![emoji85] [emoji85]
Una ukaribu nae[emoji2] [emoji2] [emoji2] hamna sina udugu nay
Nipe namba yako mrembo.