Tasher

Aisee, haya bwana sisi vibogoyo tukutane kule kwa Pogba na Mou
 
Hapa inabidi warembo wa jf wakasome.....
 
Huyu mrembo kanifurahisha sana..yaani kavurumusha na ukodak wake ule mkali hapa hapa kibarazani.

Haya bibie achana na hao wanaokuja pm...ngosha hapa nina mkopo wangu wa Saccos bado wote kabisaa. Can we seal a deal or what?

Karibu!
Teh Teh Teh Teh husisahau kumpa na ATM card yako
 
πŸ˜€
πŸ˜€
πŸ˜€
πŸ˜€

Huyu mrembo kanifurahisha sana..yaani kavurumusha na ukodak wake ule mkali hapa hapa kibarazani.

Haya bibie achana na hao wanaokuja pm...ngosha hapa nina mkopo wangu wa Saccos bado wote kabisaa. Can we seal a deal or what?

Karibu!
 
KUNA MADADA HUMU WATAKUWA WABAYA SURA HAWAWEKI PICHA ZAO KWENYE AVATAR BIG UP NATASHA KWAKUJIKUBALI
 
Hey habar napenda kuwasalim am a new member
Picha siyo nzuri sana kuwekwa humu Binti Mziray.
By the way, karibu sana JF. utahabarika, kuelimika, kuelimisha. Yasiyo na tija kwako unasoma na kuyapotezea, maana kuna mambo mengine huwa ni pumba tupu, hizo unaanchana nazo, yale mazuri unayachukua.
 
Kwa tathmini ya haraka inaonekana wanawake wengi humu sio wazuri ndio maana hawaweki sura zao. Ila hongera mrembo na karibu jf. Mimi biashara yangu ya nyanya imefeli msimu huu nimekimbia shamba langu la kukodisha kulima nyanya huko morogoro hivyo niko broke yaana (mwanaume uchwara)ila ningepasua nyanya msimu huu ningekuja pm fasta tuongee
 
[emoji23][emoji23][emoji23]wazeee wa fursa CHARMILTON njoo kuna fursa huku
Hivi Mkuu huwa unajua vipi kwamba leo kuna mgeni wa KE jf? au una NEW COMER DETECTOR MACHINE?....yaani hakuna KE ambaye hukumkaribishaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€Ngoja niendelee kufikiri kwa nini umeniitia hii fursa maana ukiona fisi anakuletea mifupa basi ujue kuna hali ya hatari....sii jambo la kawaida kutokea
 
Karibu tasha ,ila kuna ndugu yangu alisema eti ukitaka kujua size angalia mdomo ,nimejikuta tu naishiwa nguvu baada ya kuangalia mdomo
Uncle kama ile theory ya proportionality ni kweli,....najitoa kwenye mashindano.
 
Sasa hawa under 18 huku trna vipi? Naona sasa ndivyo sivyo kama nchi hii inavyo kwenda. Moderator mpooo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…